CHAUMMA kimepata umaarufu ghafla

Administer

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
2,633
Reaction score
2,378
Ni chama ambacho kwa sasa kinazungumziwa na watu wengi.Kimepata umaarufu ,mitandaoni na vyombo vya habari ni CHAUMMA. Hata Wana CHADEMA wanaizungumzia CHAUMMA. Kweli maisha yanabadilika sana hatimaye adui wa CHADEMA siyo CCM amekuwa CHAUMMA. Watu wamepindua meza ,Mungu bariki CHAUMMA tule pilau siyo ubwabwa mweupe
 
umaarufu wa dhihaka, ....
 
Wape muda
 

NI KININI HICHO?
 
labda umaarufu kutoka kwa wanaFISIEMU
 
Hao watu wengi ni wangapi na ni kina nani. Au wewe ndo unajihesabu ni watu wengi
 
Zitto Kabwe amejitahidi sana pale ACT ya zambarao lakini hwapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…