Chauma Chaumwa homa na pressure 😄😄Chauma chaumwa
Conspiracy theorist mwingine. Ni insinuations na speculations tupu.CCM ni mashetani, Salum Mwalimu yuko wapi?
EVA Shayo anatutahadhalisha na CCM
But reasonable insinuation and conspiracy from a right thinking member of a society in a class struggle!Conspiracy theorist mwingine. Ni insinuations na speculations tupu.
Amandla...
Conspiracy theorists are never reasonable.But reasonable insinuation and conspiracy from a right thinking member of a society in a class struggle!
CCM ni mashetani, Salum Mwalimu yuko wapi?
EVA Shayo anatutahadhalisha na CCM
View attachment 3575697
Not all the time they are not reasonableConspiracy theorists are never reasonable.
Amandla...
Sijakuelewa. Siku zote haziko reasonable. Tuchukue conspiracy theory ya kuwa Chaumma iliahidiwa viti vya ubunge na CCM. Hakuna hata mmoja amewahi kutoa ushahidi wa hizo ahadi. Mimi binafsi siamini watu kama Catherine Ruge, Salome Kitwanga, n.k. wanaweza kurubuniwa kirahisi na CCM kwa ahadi ya ubunge. Hawa ni wahasimu wakubwa wa CCM na wanawajua kuwa hawaaminiki. Hawa walitoka Chadema kwa sababu hawakukubaliana na strategy ya uongozi na kuona kama wanatengwa na wenzao. Wao lengo lao lilikuwa kujiweka sawa kwa 2030. Kampeni yao iliwapa nafasi ya kujitambukisha upya kwa wapiga kura na kupata ruzuku itakayowasaidia 2030. Ukimuondoa Ruge kidogo hawa sio watu wa mitandao. Sitashangaa kama wamejichimbia wakijitayarisha kwa ajili ya 2030. Kwa vile chama chao sio kikubwa kama Chadema au ACT Wazalendo wanatakiwa kuwa strategic zaidi.Not all the time they are not reasonable
😁😁😁😁Pole sana najua inaumaSijakuelewa. Siku zote haziko reasonable. Tuchukue conspiracy theory ya kuwa Chaumma iliahidiwa viti vya ubunge na CCM. Hakuna hata mmoja amewahi kutoa ushahidi wa hizo ahadi. Mimi binafsi siamini watu kama Catherine Ruge, Salome Kitwanga, n.k. wanaweza kurubuniwa kirahisi na CCM kwa ahadi ya ubunge. Hawa ni wahasimu wakubwa wa CCM na wanawajua kuwa hawaaminiki. Hawa walitoka Chadema kwa sababu hawakukubaliana na strategy ya uongozi na kuona kama wanatengwa na wenzao. Wao lengo lao lilikuwa kujiweka sawa kwa 2030. Kampeni yao iliwapa nafasi ya kujitambukisha upya kwa wapiga kura na kupata ruzuku itakayowasaidia 2030. Ukimuondoa Ruge kidogo hawa sio watu wa mitandao. Sitashangaa kama wamejichimbia wakijitayarisha 2030. Kwa vile chama chao sio kikubwa kama Chadema au ACT Wazalendo wanakiwa kuwa strategic zaidi.
Amandla...
Chama chaumwa kiko ICU.Chauma chaumwa
nonsenseCCM ni mashetani, Salum Mwalimu yuko wapi?
EVA Shayo anatutahadhalisha na CCM