Sekretarieti ya CHAUMMA yamkataa Salum Mwalim

Sekretarieti ya CHAUMMA yamkataa Salum Mwalim

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
1,008
Reaction score
3,592
Sekretarieti ya Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA imewasilisha waraka Maalumu kwa Kamati kuu ya Chama hicho ya kutokuwa na imani na Katibu Mkuu wa CHAUMMA na mgombea Urais wa Chama hicho katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Salum Mwalimu.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo tumezipata kwenye chumba chetu cha habari Royal Tv leo Jumatatu Juni 29, 2026, kutoka kwa chanzo chetu cha uhakika ndani ya Kikao hicho cha kamati kuu, miongoni mwa wajumbe na viongozi wa Sekretarieti ya CHAUMMA taifa waliosaini waraka huo ni pamoja na Benson Kigaila, Edward Kinabo, Ismail Kangeta na Elia Gregory Mahwa.

Wengine waliosaini waraka huo kupitia kwenye Kikao hicho kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya CHAUMMA, Kinondoni Jijini Dar Es Salaam ni Aisha Madoga, David Chiduo, Dorcas Mpatili na Mohamed Pume.

Miongoni mwa yale yaliyotajwa katika waraka huo wa kutokuwa na imani na Salum Mwalimu ni pamoja na kutokuwa muwazi katika mapato na matumizi ya Chama kufanya ubadhirifu wa fedha za chama, kubadilisha msimamo wa Chama kwa utashi na matakwa yake binafsi na kushindwa kuheshimu uongozi na kuendesha chama mithili ya mali yake binafsi.
 
Sekretarieti ya Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA imewasilisha waraka Maalumu kwa Kamati kuu ya Chama hicho ya kutokuwa na imani na Katibu Mkuu wa CHAUMMA na mgombea Urais wa Chama hicho katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Salum Mwalimu.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo tumezipata kwenye chumba chetu cha habari Royal Tv leo Jumatatu Juni 29, 2026, kutoka kwa chanzo chetu cha uhakika ndani ya Kikao hicho cha kamati kuu, miongoni mwa wajumbe na viongozi wa Sekretarieti ya CHAUMMA taifa waliosaini waraka huo ni pamoja na Benson Kigaila, Edward Kinabo, Ismail Kangeta na Elia Gregory Mahwa.

Wengine waliosaini waraka huo kupitia kwenye Kikao hicho kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya CHAUMMA, Kinondoni Jijini Dar Es Salaam ni Aisha Madoga, David Chiduo, Dorcas Mpatili na Mohamed Pume.

Miongoni mwa yale yaliyotajwa katika waraka huo wa kutokuwa na imani na Salum Mwalimu ni pamoja na kutokuwa muwazi katika mapato na matumizi ya Chama kufanya ubadhirifu wa fedha za chama, kubadilisha msimamo wa Chama kwa utashi na matakwa yake binafsi na kushindwa kuheshimu uongozi na kuendesha chama mithili ya mali yake binafsi.
Huyu Aisha Madoga ni mke wa Salum Mwalimu vipi tena anamsaliti mumewe, huyu ndiye ameshiriki kutafuna hela walizopewa na Freeman Mbowe.
 
Sekretarieti ya Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA imewasilisha waraka Maalumu kwa Kamati kuu ya Chama hicho ya kutokuwa na imani na Katibu Mkuu wa CHAUMMA na mgombea Urais wa Chama hicho katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Salum Mwalimu.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo tumezipata kwenye chumba chetu cha habari Royal Tv leo Jumatatu Juni 29, 2026, kutoka kwa chanzo chetu cha uhakika ndani ya Kikao hicho cha kamati kuu, miongoni mwa wajumbe na viongozi wa Sekretarieti ya CHAUMMA taifa waliosaini waraka huo ni pamoja na Benson Kigaila, Edward Kinabo, Ismail Kangeta na Elia Gregory Mahwa.

Wengine waliosaini waraka huo kupitia kwenye Kikao hicho kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya CHAUMMA, Kinondoni Jijini Dar Es Salaam ni Aisha Madoga, David Chiduo, Dorcas Mpatili na Mohamed Pume.

Miongoni mwa yale yaliyotajwa katika waraka huo wa kutokuwa na imani na Salum Mwalimu ni pamoja na kutokuwa muwazi katika mapato na matumizi ya Chama kufanya ubadhirifu wa fedha za chama, kubadilisha msimamo wa Chama kwa utashi na matakwa yake binafsi na kushindwa kuheshimu uongozi na kuendesha chama mithili ya mali yake binafsi.
ok sawa msemaji wa chadema :noitsTrue:
 
Ningependelea wachapane bakora kuanzia ofisini hadi watoke barabarani huku wanapiga mayowe.Kudaadeekii!
 
Sekretarieti ya Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA imewasilisha waraka Maalumu kwa Kamati kuu ya Chama hicho ya kutokuwa na imani na Katibu Mkuu wa CHAUMMA na mgombea Urais wa Chama hicho katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Salum Mwalimu.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo tumezipata kwenye chumba chetu cha habari Royal Tv leo Jumatatu Juni 29, 2026, kutoka kwa chanzo chetu cha uhakika ndani ya Kikao hicho cha kamati kuu, miongoni mwa wajumbe na viongozi wa Sekretarieti ya CHAUMMA taifa waliosaini waraka huo ni pamoja na Benson Kigaila, Edward Kinabo, Ismail Kangeta na Elia Gregory Mahwa.

Wengine waliosaini waraka huo kupitia kwenye Kikao hicho kinachoendelea muda huu Makao Makuu ya CHAUMMA, Kinondoni Jijini Dar Es Salaam ni Aisha Madoga, David Chiduo, Dorcas Mpatili na Mohamed Pume.

Miongoni mwa yale yaliyotajwa katika waraka huo wa kutokuwa na imani na Salum Mwalimu ni pamoja na kutokuwa muwazi katika mapato na matumizi ya Chama kufanya ubadhirifu wa fedha za chama, kubadilisha msimamo wa Chama kwa utashi na matakwa yake binafsi na kushindwa kuheshimu uongozi na kuendesha chama mithili ya mali yake binafsi.
Umasikini wa roho,ni ugonjwa mkubwa sana na mbaya sana kwa hivi vyama masikini!. Kosa la Salum Mwalimu ni,baada ya kupewa gari VXR ya serikali wakati wa uchaguzi,baada ya uchaguzi,aliendelea kuonekana na VXR sasa anaendesha mwenyewe!,kwanza walimtuhumu kuiba gari la tume,walipogindua kuwa ni lake,wanataka maelezo kapata wapi fedha wakati Chauma ni apeche alolo,wanadhani ni fedha za chama chao Salum kawaibia
View: https://youtu.be/pKurLGCz14Y?si=TeE2xh2x1IgCnrWt ,kumbe kainunua kwa pesa yake ya mfukoni!

P
 
Back
Top Bottom