Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

na lowasa alipochukua maji arumeru na kuyaleta monduli mbona haujasema ubinafsi huo na wakati wameru hadi sasa hawana maji,

mm sio mshabiki mkuu nakwambia ukweli hata chato wanalipa kodi na wao wanastaili ,je unajua zilipowekwa kuwa kuna mtelemko na njia ya watembea na miguu ,na hizo zinasaidia kupunguza ajari hapo au unacoment kisa umeona uzi humu pasipo kujua why?

Lowassa amehusikaje na mada ya taa za barabarani?? Anyway kwakuwa anakuwasha embu sema jinsi alivyotoa maji ziwa victoria kwa ajili ya wakazi wa shinyanga na kahama je?? Mahitaji ya taa za barabarani ndio mada mkuu acha mihemko ya Lowassa huu uzi ni wa taa za chato kusikokuwa hata na foleni.
 
Wakati chalinze njia panda kuu ya tanzania hakuna hata mshumaa wa kuongozea gari
 
Sasa si unabisha kwa fact, mbona lugha mbovu tena? Kama plan ya barabara iliinvolve taa lazima ikamilike kwa kiwango hicho BTW itatumika ilihitajika. nahimiza iwe hivo kwa miradi mingine Magufuli anafocus miaka 50 ijayo.

Huwezi kusema ana focuss mtu ambae anajuwa tatizo la msongamano wa magari kwenye majini na manispaa anaenda kupelekaa taa za kuongoza magari kijijini. Ni upuuzi
 
Hiyo inatokana na kuwa na viongozi wasiojua ni nini mahitaji ya wananchi, lakini pia matumizi mabaya ya madaraka.
 
Hiyo inatokana na kuwa na viongozi wasiojua ni nini mahitaji ya wananchi, lakini pia matumizi mabaya ya madaraka.

Chadema inajua mahitaji ya wananchi? Tunaitaji barabara bora, mkijengewa mnapiga kelele.
 
Hvi ww mtoa mada naona una mapungufu ya akili kwanza kwenu wap acha upuuzi ulitaka aweke wap hzo taa wakat hzo zinawekwa na halmashaur heb wivu wa kipuuzi na ushabik usiokuwa na maana...
 
Si mlisema humu wanachato hawampendi,kumbe maendeleo yote hayo kawafanyia binafsi nilishapita hiyo barabara utaipenda tu chato,amepapendezesha Sana.mmezoea kuponda Kila kitu ina maana ukanda wenu ndio bora?hata huo urais mnaolilia akitoka lowasa,slaa,mbowe,Lema miaka 40 muongoze nyie Tu,sababu top leaders wote kaskazini.
 
Silaa?? Lowasa???
Wataka kusema nini?
Unajua chochote kuhusu taa za barabarani???


nadhani haitakusaidia maana alipojenga lami karibia robo tatu ya nchi nzima haujatafuta ripoti yake

sasa katafute document za ujenzi wa nyumba ya mbunge lowasa ktka jimbo lake na nikusaidie hizo document nenda kwa slaa atakupa zote na zitakusaidia kujua yupi ni yupi,

 
Ondoa Shaka October ndo dawa tuu
 
Hapo ni njia panda ya kwenda bukoba kyaka hadi Uganda, magari hayakai yanafika yanashusha na kupanda yanaondoka, lakini ushuru unaingia,sasa mnyika na misongamano yote hiyo kashindwa kutumia mapato ya ndani kuwaletea wanaubungo maendeleo. kabla ya magufuli kama unataka kwenda bukoba ilibidi kuzungukia biharamulo akatengeneza shot cut ya kupitia chato hadi muleba sasa hivi ni safari ya masa saba mwanza bukoba. mbona mbowe kajengewa barabara ya lami wakati hamna hata basi moja linalokwenda hai zaidi ya noah (viford) na bodaboda.
Unachoongea hata hukijui, kawaulize wakazi wa buziku wakupe historia ya lami kupitishwa Chato....hata kama ni mapenzi na chama hebu tuweni wakweli. Hizo taa ziko barabara iliyo chini ya TANROAD usituletee umbuthu wako eti halmashauri imekusanya ushuru,nani kakuambia hiyo barabara iko chini ya halmashauri? JPM humjui wewe. Kajenga estate Chato na kaforce ofisi za halmashauri zijengwe opp na estate yake na kukawa na mizengwe wafanyakazi wa halmashauri wakawa wanapigwa mkwara kuwahi ofcn yn saa moja na nusu mstari unapigwa kwenye daftari la mahudhurio na barua za warning zikawa nje nje,wafanyakazi ikabidi wapange nyumba za bosi ili wawahi ofcn. Waulizeni dizaini ya kulipa kodi ya pango!!!!!
 
Mahali kama hapa ninaamini Gari moja hupita kila baada ya Dakika saba au zaidi. Hii inamaanisha kuna uwezekano wa mtu kuamua kuvuka barabara hii akiwa amefunga macho na bado akavuka salama. Sasa taa za kazi gani kwenye barabara kama hii ambayo magari yake yanahesabika kwa hesabu za chekechea? Au waliamua kuwaka pambo kwenye hicho kitongoji chao. Kweli Magufuli akiwa rais, tutawekewa taa za kuongozea magari mpaka kwenye njia za ng'ombe.
 
Kuna dereva mmoja anakuambia vhato magari hayafiki 10 ila kuna taa za magari
 
Ukiacha ukweli kwamba ni upotevu wa rasilimali za nchi, taa zikiwekwa sehemu isiyo sahihi zinakua kero kwa watumia barabara!
Magufuli ni mbinafsi balaa!! Alipokua waziri wa ardhi na makazi, kwa haraka kapeleka nyumba za NHC kwao!!!!
Sasa kapeleka mataa, tena pasipohitajika!!
 
attachment.php

Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?

Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.

Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi

Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.

Lowassa akiwa waziri alishughulika na matatizo ya watz wote,Na huyo ndiye mtu anafaa kuliongoza taifa kwa sasa.

Kwa hiyo ila wewe,chato hakuna watu wenye uhitaji wa taa hizo?
 
Unachoongea hata hukijui, kawaulize wakazi wa buziku wakupe historia ya lami kupitishwa Chato....hata kama ni mapenzi na chama hebu tuweni wakweli. Hizo taa ziko barabara iliyo chini ya TANROAD usituletee umbuthu wako eti halmashauri imekusanya ushuru,nani kakuambia hiyo barabara iko chini ya halmashauri? JPM humjui wewe. Kajenga estate Chato na kaforce ofisi za halmashauri zijengwe opp na estate yake na kukawa na mizengwe wafanyakazi wa halmashauri wakawa wanapigwa mkwara kuwahi ofcn yn saa moja na nusu mstari unapigwa kwenye daftari la mahudhurio na barua za warning zikawa nje nje,wafanyakazi ikabidi wapange nyumba za bosi ili wawahi ofcn. Waulizeni dizaini ya kulipa kodi ya pango!!!!!

Kwa akiri zako unataka wafanyakazi wafike muda wanaopenda wao. Ndorooooooooobo wewe,ushabiki maji huo. Hata ukikaa Kigoma sheria n kufika SAA moja na nusu,nampongeza Mkurugenzi wa Chato kwa kusimamia nidhamu kazini
 
Bora hata wangeweka Mwanza. Njia panda ya Bwiru au makutano ya njia ya kwenda Kirumba sokoni
 
Mwanza yenyewe ni jiji lakini ina taa sehemu mbili tuu makutano ya posta road na nyerere road na station road pamoja na buzuruga,sasa chato taa za nini?kuna msongamano kweli kama sio kujipendelea?akiwa rais na magogoni itahamia chato.
 
Back
Top Bottom