Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Huyu ni rais wa watanzania wote. sio wale wanataka mji mhimu iwe Arusha au moshi
 
Nashangaa mke wa Magufuli katulia nyumbani huku mke wa Kikwete anahangaika majukwaani ili ufisadi wao ulindwe na mgombea dhaifu wa CCM
Mkuu lazima BMW waangaike sababu mgombea kashatangaza kufungua
mahakama maalum ya kushughulikia mafisadi,sasa wasipojikomba
mahakama hiyo ikifunguliwa italeta tabu.
 
Mbunge akijisahau kusaidia jimbo lake mnasema amewatelekeza wapiga kura wake!! Akiwasaidia wapiga kura wake tena siyo mwenzetu!! Jema ni ni lipi kwa watanzania?
 
Mtoa maada rudi kajipange,huijui chato.sisi tuliopo huku tunajua umhimu wa JPM kwa chato
 
Nashangaa mke wa Magufuli katulia nyumbani huku mke wa Kikwete anahangaika majukwaani ili ufisadi wao ulindwe na mgombea dhaifu wa CCM

Shule hazijafunga kwahiyo mke wa Magufuli yuko kazini anafundisha watoto. Mke wa kikwete ni mjumbe wa nec kwa hiyo ni kawaida kupiga kampeni ili chama chake kishinde.#hapakazitu kwa vitendo Magufuli hajaja kuonyesha mapenzi jukwaani.
 
maghufuli ni mbinafsi. kule chato aliwahi kupindisha barabara kuu ili ipite kwake. ni hatari saana...
 
Nchi lazima iwe na rais..maneno matupu hayavunji mfupa.. chagua Lowasa.
 
Hiyo ni kweli tupu mkuu watu wa Biharamulo wanamsubili kwa hamu wamwadhibu kwa kuchepusha barabara iliyokuwa ipite Biharamulo ikapita Chato, pia wavuvi wanamsubiri alichoma nyavu zao akaacha wenye viwanda wanaotengeneza nyavu.

Chato ilifanywa shotcut kuelekea muleba ila jaman wahusika wa kagera muwe serious...ni heri upite biharamlo kuliko chato kwa kuwa ni muda mwingi unatumia kuliko ...ile shortcut ni very longcut
 
Jamaa ni mbinafsi na roho mbaya balaa. Alijenga kanisa kwao lubambangwe waumini wakalisusa baada ya kuona anataka wamuabudu yeye. Jimboni kwake wanamjua mkichagua diwani au mwenyekiti wa upinzani anazuia msililetewe miradi ya maendeleo, hata pesa za mfuko wa jimbo alikuwa anatoa kwa vijiji zenye wenyeviti wa ccm tu. Alifikia hatua anataka kukwepesha umeme upitishwe porini ili kukwepa kata ya bwanga ambayo diwani wake ni chadema. Kifupi akipita ndio mtamfahamu vzr endeleeni kumshabikia tu.
 
hivi lowasa kafanya nini monduli?au mbowe kafanya nini hai?

Ni kijiji gani Tanzania vijiji vyake vimepimwa tofauti na monduli? Ni mji gani maji ya bomba majumbani ni bure tofauti na mto wa mbu monduli? No research no right to open ur mouth!
 
Back
Top Bottom