Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Nilipoona kichwa cha habari nilijua ni utani!!!!
Taa zinawekwa tu kiholela????
Ishu yangu hapa sio gharama (labda milionin150 zilitosha).....
Natamani nione ripoti iliyohalalisha kuwekwa taa hizo!
 
Bro anaonekana mburula wa histry ya nchi hii uliza pesa kwaajili ya ujenzi wa nyumba za wabunge ilipangwa iwe tshs ngapi nayeye akiwa prime minister alicomand jimbo lake lipewe kiasi gani kwaajili ya nyumba ya mbunge? Fanya uhakiki kabla ya kucoment
 
attachment.php

Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?

Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.

Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi

Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.

Lowassa akiwa waziri alishughulika na matatizo ya watz wote,Na huyo ndiye mtu anafaa kuliongoza taifa kwa sasa.

Wewe unayashangaa ya taa za barbarani na huyashangai ya
Lowassa aliyeyatoa maji Arumeru na kuyapeleka Monduli, hali watu wa Arumeru wana shida ya maji ( angalia video za Dr SLAA alipokuwa anamponda Lowassa kwa ufisadi ).
 
attachment.php

Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?

Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.

Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi

Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.

Lowassa akiwa waziri alishughulika na matatizo ya watz wote,Na huyo ndiye mtu anafaa kuliongoza taifa kwa sasa.

mkuu tumekuelewa unaleta uzi wa kazi za magufuli na wakati huohuo unamfanyia kampani lowasa kweli nyie ni nyumbu,

nakukumbusha Arumeru SLAA alimwita LOwas kuwa ni mbinafsi tena mnafiki mkubwa pale alipochukua maji Arumeru na kuyapeleka monduli na wameru wakabaki bila maji

je yupi ni mnafiki au unaongea humu baaba ya kupata ajira mpya ya kumsafisha na wewe ki ukweli ni 4u wala sio cdm ndo hamjielewi wala hamna kumbukubu ,ni wajana baada ya ajira yenu kujitokeza,

 
attachment.php

Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?

Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.

Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi

Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.

Lowassa akiwa waziri alishughulika na matatizo ya watz wote,Na huyo ndiye mtu anafaa kuliongoza taifa kwa sasa.

Aaah mbona maajabu haya.Magufuli sio mzima amewadharau watu wachato.
 
Wewe unayashangaa ya taa za barbarani na huyashangai ya
Lowassa aliyeyatoa maji Arumeru na kuyapeleka Monduli, hali watu wa Arumeru wana shida ya maji ( angalia video za Dr SLAA alipokuwa anamponda Lowassa kwa ufisadi ).

mkuu haya ma 4u hayajui kitu ajira lao kwenye siasa ninza juzi tu wanapewa posho kumchafua magufuli wakati hata kumbukumbu hawana ,,siasa uchwala na unafiki ndo dhambi yao inayowamaliza mwaka huu,
 
Bro anaonekana mburula wa histry ya nchi hii uliza pesa kwaajili ya ujenzi wa nyumba za wabunge ilipangwa iwe tshs ngapi nayeye akiwa prime minister alicomand jimbo lake lipewe kiasi gani kwaajili ya nyumba ya mbunge? Fanya uhakiki kabla ya kucoment

mkuu tuyasaidie haya manyumbu kwa jina jipya walilopewa bunge lilipanga ml48 yeye akalazimisha apewe ml 300 sio maneno yangu ni ushaidi wa document za dr SLAA na alimtaka akanushe nikiwepo arumeru akawa bubu hadi leo,.
 
Kwani taa ni sh ngapi? Akiwa Rais ataipendelea Tz nzima. Chato ina hispital nzuri toka 2000's ina barabara ya lami toka 2000's. Anajitahidi sana mlikua mnamsema Membe kwa kushindwa kuleta maendeleo kwao.

Acha upuuzi chato tunapajuwa hapastahili taa za kuongoza magari. Majiji yote tz ukiachana na manispaa zinahitaji taa kwasababu ya msongamano wa magari na waenda kwa mguu. Chato?. Hapana hapana
 
mwaka huu kwa magufuli hamna cha kisema kilichpbaki ni unafiki eti taa chato,wewe kwa akili yako hao watu wa dar ndo unawaona wa maana sana wengine sio watu,dhambi ya unafiki inawamaliza taratibu

Wingi wa magari wa Chato sio sawa na wingi wa magari wa Dar?? Chato hakuna foleni kama Dar. Mengine ni ushabiki tu lakini ukweli unaujua.
 
Niambie magari yako Mangapi Chato niambie na sheria zinasemaje? Naijua Chato toka 2004 mpaka leo, naijua chato ni njia pekee ya kuelekea Bukoba kupitia Biharamulo
Mkuu hapo uliposema Chato ni njia pekee kuelekea BK kupitia Biharamulo umechemka. Unaweza ukapita Bwanga ukatokea B'mulo na ukanyoosha kufika BK
 
Nilipoona kichwa cha habari nilijua ni utani!!!!
Taa zinawekwa tu kiholela????
Ishu yangu hapa sio gharama (labda milionin150 zilitosha).....
Natamani nione ripoti iliyohalalisha kuwekwa taa hizo!

nadhani haitakusaidia maana alipojenga lami karibia robo tatu ya nchi nzima haujatafuta ripoti yake

sasa katafute document za ujenzi wa nyumba ya mbunge lowasa ktka jimbo lake na nikusaidie hizo document nenda kwa slaa atakupa zote na zitakusaidia kujua yupi ni yupi,

 
Wingi wa magari wa Chato sio sawa na wingi wa magari wa Dar?? Chato hakuna foleni kama Dar. Mengine ni ushabiki tu lakini ukweli unaujua.


na lowasa alipochukua maji arumeru na kuyaleta monduli mbona haujasema ubinafsi huo na wakati wameru hadi sasa hawana maji,

mm sio mshabiki mkuu nakwambia ukweli hata chato wanalipa kodi na wao wanastaili ,je unajua zilipowekwa kuwa kuna mtelemko na njia ya watembea na miguu ,na hizo zinasaidia kupunguza ajari hapo au unacoment kisa umeona uzi humu pasipo kujua why?
 
Mkuu hapo uliposema Chato ni njia pekee kuelekea BK kupitia Biharamulo umechemka. Unaweza ukapita Bwanga ukatokea B'mulo na ukanyoosha kufika BK

mkuu anatufanya wajinga kama yeye,
 
Acha upuuzi chato tunapajuwa hapastahili taa za kuongoza magari. Majiji yote tz ukiachana na manispaa zinahitaji taa kwasababu ya msongamano wa magari na waenda kwa mguu. Chato?. Hapana hapana

Sasa si unabisha kwa fact, mbona lugha mbovu tena? Kama plan ya barabara iliinvolve taa lazima ikamilike kwa kiwango hicho BTW itatumika ilihitajika. nahimiza iwe hivo kwa miradi mingine Magufuli anafocus miaka 50 ijayo.
 
Mkuu hapo uliposema Chato ni njia pekee kuelekea BK kupitia Biharamulo umechemka. Unaweza ukapita Bwanga ukatokea B'mulo na ukanyoosha kufika BK

Njia kuu inayopitika muda wote ni ya Buselesele- Chato- biharamuro- Muleba hiyo ya Bwanga ni altenative
 
Tatizo UKAWA wamepandikiza siasa za ushabiki nasio uhalisia ambalo nitatzo coz propaganda zakitoto kwa wa Tz hazitowafksha mbili DAT y mlizunguka nchi nzima kuwaamnsha wa Tz kuwa Lowasa fisadi leo mnatumia masaa matatu kuwaamnsha kuwa si fisadi hii dhambi haitowaacha salama nahamtaamn leo mtaamini baada ya October 2015 kitakachotokea ndani ya UKAWA kwa ujumla
 
Nchi hiko gizani kweki tunalalamikia hata taaa za barabalani? Kuna watu wakitusikia watatucheka sana.kauzeni twiga mnunue taa za barabalani..
 
Back
Top Bottom