Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kama watamdharau magufuli watakuwa wanachekesha,sababu mkaskazini akichukua watabaki kujivunia hivyo hivyo vya magufuli,tatizo watu wa kaskazini wabinafsi Sana barabara nzuri na mataa viwekwe kwao Tu.wao wakijengewa barabara sawa,chato imejengwa haikuwa planned eti kadivert.na watu wa Kanda ya ziwa wanaowashabikia hawawajui vizuri.
 
Kuna sehemu nyingi sana hapa Dar hazina hayo mataa ila yeye kaenda kuyarundika Chato.
 
Tabia za kibinafsi binafsi Tu,wanaokaa chato sio watu?
 
Huyu magufuli hatufai kabisa kuwa rais wetu ni mbinafisi sn,
 
So dar ndio Kuna watu wanaishi na chato hawaishi watu?
 
wewe kibaraka wa mramba ni kweli kabisa lowasa angefaa lakini huko aliko na hao waliomzunguka ndo tatizo.

attachment.php

Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?

Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.

Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi

Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.

Lowassa akiwa waziri alishughulika na matatizo ya watz wote,Na huyo ndiye mtu anafaa kuliongoza taifa kwa sasa.
 
attachment.php

Hii ndio hali halisi ya CHATO Magufuli kaweka kwao taa za kuongozea magari akiwa waziri,Tujiulize kwa ubinafsi huu huyu mtu akiwa rais itakuwa je?

Ipo mikoa inamahitaji makubwa ya taa za kuongozea magari kama Morogoro, Dodoma, Iringa n.k.

Lakini cha kushangaza Dr Magufuli kapeleka taa hizi wilayani, Huu ni ubinafsi

Na nchi hii haitaji rais mbinafsi hata kidogo.Tunaitaji rais wa wananchi wote.

Lowassa akiwa waziri alishughulika na matatizo ya watz wote,Na huyo ndiye mtu anafaa kuliongoza taifa kwa sasa.

hivi wewe ulishawai kufika monduli ukaona umasikini uliopo lakini kila kukicha lowasa anatoa harambee za mamilion kwenye vikundi na makani, kamwambie lowasa aanzie kwake aache sifa za kijinga na kugawa pesa kias urais nchi nzima,
 
Huyu magufuli hatufai kabisa kuwa rais wetu ni mbinafisi sn,

na lami ailzozijenga karibia robo 3 ya nchi na huo ni ubinafsi kweli nyie ni manyumbu wa jf na unafiki
 
kumbe chato nao kuna magari? ni taa za kuongozea magari yepi sasa, akipata urais anaweza kuhamishia ikulu chato.
 
Ubinafsi tu tukiangalia kule butihama kama kwel baba yetu hayati mwl.J.k.nyerere angekuwa mbinafsi c angegeuza butihama kuwa mji mkuu kwa kuforce viongoz wa saiz ubinafsi tu
 
Sio mikoa tu hata pale Afrikana kama unaenda Tegeta kuna uhitaji mkubwa wa taa za kuongozea magari. Pia bara bara kubwa kama ile na ile ya kilwa kukosa taa za barabarani ni substandard kwakweli

mwaka huu kwa magufuli hamna cha kisema kilichpbaki ni unafiki eti taa chato,wewe kwa akili yako hao watu wa dar ndo unawaona wa maana sana wengine sio watu,dhambi ya unafiki inawamaliza taratibu
 
manyumbu mbwana kweli kiarusi cha mtu wao kimeanza kiwaingilia na wao ni wagonjwa ,kwelikabisa unaleta uzi wa namna hii hapa na wajinga wanakushabikia.
chto kunaishi mbwa ndo hawatakiwi kuwekewa taa hila kwenu ndo kunaishi binadamu na ndo mnasitahili kuwekewa taa?
dhambi ya unafiki na siasa za majitaka zinawamaliza mwaka huu hamna cha kusema zaidi ya tutapatapa na uzi za darasa za kwenza,
 
Ubinafsi tu tukiangalia kule butihama kama kwel baba yetu hayati mwl.J.k.nyerere angekuwa mbinafsi c angegeuza butihama kuwa mji mkuu kwa kuforce viongoz wa saiz ubinafsi tu

na lami alizozijenga nchi nzima karibia na huo ni ubinafsi mbona hamuelewwiki nyie,

lowasa alipochukua maji arumeru na na kuyapeleka monduli na kuwaacha wameru wanaanngaika bila maji huo ni nini ?
siasa za kike hizo,
 
kumbe chato nao kuna magari? ni taa za kuongozea magari yepi sasa, akipata urais anaweza kuhamishia ikulu chato.

hacha kukurupuka nyie ndo maana mnapewajina jipya humu ,chato hakuna magari?
au kwenu ndo mnajiona bora kuriko watu wa chato?
 
lowasa alipochukua maji Arumeru na kuwaacha hawana maji hadi leo na kuyapeleka monduli hicho ni kitu gani? kana ajira zetu zimeanza wakati huu wa mtu wenu kumsafisha na kuchafua magufuli basi kuleni posho zenu chapa lapa,
 
sina tatizo na wapi pesa za kuweka hizo taa zilitoka,shida yangu ni kweli wananchi wa chato wanazihitaji hizo taa kuliko huduma nyingine?
ukipita pale unaona ni baiskeli tu ndo zinapita kwa wingi kuliko magari,kwahiyo hapakuwa na ulazima wa hizo taa ila zimewekwa kwa mapenz ya mtu binafsi....pesa hizo wangefanyia miradi mingine kama kweli nia yao ni kuwakomboa wana chato
 
Kwakweli ukanda huu wa Arusha na Moshi ni hatari kwa mustakabali wa nchi yetu. Sasa tunalazimishiwa raisi lazima atoke kwao kwa UDI na uvumba hata kwenye mambo ya msingi yanaelekezwa kuwa siyo ya msingi kwakuwa hayakufanyika machame.
 
Back
Top Bottom