Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Jamaa ni mbinafsi na roho mbaya balaa. Alijenga kanisa kwao lubambangwe waumini wakalisusa baada ya kuona anataka wamuabudu yeye. Jimboni kwake wanamjua mkichagua diwani au mwenyekiti wa upinzani anazuia msililetewe miradi ya maendeleo, hata pesa za mfuko wa jimbo alikuwa anatoa kwa vijiji zenye wenyeviti wa ccm tu. Alifikia hatua anataka kukwepesha umeme upitishwe porini ili kukwepa kata ya bwanga ambayo diwani wake ni chadema. Kifupi akipita ndio mtamfahamu vzr endeleeni kumshabikia tu.

Bahati mbaya october hutapiga kura.

Bora ukalale tu.
 
Mtoa post una uhusiano wowote na Gwajinga? Maana anona unavyochagua maneno yako hayatofautiani na mtu yule.
#HapaKaziTu
 
Unaijua stendi ya Chato na idadi ya magari yanayopaki kwa siku? Kwa wasiofahamu Chato ni kijiji kilichopewa hadhi ya makao makuu ya wilaya kwa mabavu (hakikuwa na sifa hiyo) kwa ajili ya uswahiba wa magufuli na Mkapa nukta. Wakti mwingne unafika stendi hakuna gari hata moja unasubiri. Leta uwongo mwingne.
Kwahiyo hizo taa ni za kuongozea Punda na wheelbarrow??
 
Kwani taa ni sh ngapi? Akiwa Rais ataipendelea Tz nzima. Chato ina hispital nzuri toka 2000's ina barabara ya lami toka 2000's. Anajitahidi sana mlikua mnamsema Membe kwa kushindwa kuleta maendeleo kwao.

Sisi wengine ni manabii tulia.Uendelee kujifunza kijana.
 
Kwanza kabisa nimshukuru mheshimiwa rais kwa kutuahidi kutuwekea lami barabara ya Ubungo Kibangu alipiloenda kusali kwa Mzee wa Upako.

Barabara hii ujenzi wake ushaanza sasa na utakamilika soon
Lakini pia nimshukuru Mzee wa Upako kwa kuwa yeye ndiye aliyemfurahisha rais na mke wake kwa mahubiri yake hadi kutupa barabara.

Sasa ngoja niingie kwenye point ya uzi,
baada ya jana watu kuhoji kuhusu uwanja wa ndege kujengwa Chato kuna wadau walisema mheshimiwa alishawawekea taa za barabarani.

Katika pekuapekua yangu nimeziona picha za Chato na taa zake hizi

0a733332541766d59b77207fad8cb4a7.jpg
6133132a53ed1600e786dc8da8c5a4bd.jpg


Hizi ni taa za barabarani zilizopo jimboni alipotoka rais wetu, mh. John Magufuli na ziliwekwa naye akiwa waziri wa ujenzi
Hakika huyu anafaa kuongoza kwa miaka 20 kama baadhi ya wadau walivyopendekeza humu
 
Jamaaa anavuka taa za barabarani na baskeli ya kuni...hakuna hata gari,lazima nikapita huko kabla Mwaka haujaisha,hivi geita mkoani,bukoba,musoma zipo? Hizo ni taa za kuongozea baskeli
 
Magufuli mtaziona rangi zake halisi muda si mrefu....

Huyu mtu ni mbinafsi sana...

Anaweza hata kuwawekea ng'ombe wake vitanda zizini ilhali wagonjwa wanalala chini!
 
Waliomchagua na kumtete wanajuta.

Wa kwanza, ni January Makamba,
Wa pil,i ni Kikwete & Family
Wa Tatu, ni Kinana CCM CC

Hawana hamu kabisa.
 
Back
Top Bottom