Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

Kamji kadogo lakini alitaka kawe makao makuu ya mkoa wa geita.. amejenga nyumba kibao amewapangisha wafanyakazi wa wilayani..jamaa ni mbinafsi balaa
 
Magufuli mtaziona rangi zake halisi muda si mrefu....

Huyu mtu ni mbinafsi sana...

Anaweza hata kuwawekea ng'ombe wake vitanda zizini ilhali wagonjwa wanalala chini!
hayo ni maendeleo mkuu we taa za barabarani mpaka za vumbi
 
Photoshop hiyo. Chato lami ni kila mahali kusema kuna taa za barabarani kwenye barabara ya vumbi ni uongo wa mchana kweupe
 
Photoshop hiyo. Chato lami ni kila mahali kusema kuna taa za barabarani kwenye barabara ya vumbi ni uongo wa mchana kweupe

We unaebisha ushaenda chato? Mimi nimepita hapo juzi na kweli hizo taa zipo, sijui alikuwa anamaanisha nini kuziweka huko maake magari yenyewe yakuhesabu.
 
mi namlaumu JK bifu lake kumminya EL limesababisha kupata huyu jamaa na nimbinafsi kwelikweli!
 
We unaebisha ushaenda chato? Mimi nimepita hapo juzi na kweli hizo taa zipo, sijui alikuwa anamaanisha nini kuziweka huko maake magari yenyewe yakuhesabu.
Nani kasema hakuna taa? Zipo ila alopost anataka ku portray kuwa zimewekwa kwenye barabara ya vumbi. Huu ni uongo ambao kama kweli umepita na ukawa makini picha hii imechezewa. Nipo Chato kwa zaidi ya miezi mitatu sasa. Nipo, sijapita
 
Utazima nyumba ya jirani ......inaungua moto angali yako pia inaunguaa???
 
yametokea mkuu uliyoyaandika sasa uwanja wa ndege kulepekwa chato.



swissme
 
Pa1 na hayo wananchi wa chato hawampendi anajifanya mungumtu anawatukana hovyo, Aliwaambia wanye mavi wapake barabara iwe lami, yani huyu mkurupukaji HAFAI. Subiri Lowassa akienda Chato ndio mtajionea mafuriko halisi.
Dah hii kauli aliitolea wapi ?? Sasa hivi Airbus zitatua Chato
 
kwani maendeleo hayo ameyapeleka wapi si ni Tanzania kwani amepeleka Namibia ,we ukiona wivu hamia Chato .Mtanzania anaruhusiwa kuishi sehemu yeyote ya jamhuri ya Tanzania ili mradi auvunji sheria .Kama viongozi wako hawawajibiki hilo ni suala lao binafsi lakini nchi hii inatakiwa taa ziwekwe mpaka vijijini hayo ndio maendeleo acha majungu .
 
Pa1 na hayo wananchi wa chato hawampendi anajifanya mungumtu anawatukana hovyo, Aliwaambia wanye mavi wapake barabara iwe lami, yani huyu mkurupukaji HAFAI. Subiri Lowassa akienda Chato ndio mtajionea mafuriko halisi.
Hahahah eti wanye mavi wapake barabara ili iwe lami!!!! noma sana mkuu!!!
 
Kwani taa ni sh ngapi? Akiwa Rais ataipendelea Tz nzima. Chato ina hispital nzuri toka 2000's ina barabara ya lami toka 2000's. Anajitahidi sana mlikua mnamsema Membe kwa kushindwa kuleta maendeleo kwao.

Sasa hivi anajenga Chato international airport.
 
Back
Top Bottom