Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,446
- 7,817
Halmashauri ya wilaya ya Chato ikishirikiana na NHC inawakaribisha watanzania kununua viwanja vya makazi, biashara na viwanda eneo la Rubambagwe lililo katikati ya mji wa Chato na pembezoni mwa ziwa Viktoria barabara kuu ya Bukoba.
Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.
Chato inafikika kwa usafiri wa anga, maji na ardhini pia ni mji unaokwenda kwa kasi.