Mimi ni mwanajf nisiyechangamana na kundi lolote. Ninastaajabishwa na umaarufu wako mkubwa wewe lady ambao unawadatisha vidume wengi humu jamvini. Nakuuliza, ni nini siri ya kukubalika kwako? Kama unatumia LIMBWATA(dawa ya mapenzi) si uwagawie na ladies wenzako nao wapapatikiwe!