Mungu nyuma ya wataule wake (chosen one)

Mungu nyuma ya wataule wake (chosen one)

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
9,981
Reaction score
16,149
Nilieleza jinsi ambavyo shetani ni roho hutafuta watendea kazi wenye mwili.

Kumuangamiza mtu kirahisi humtumia ndugu wa nyumbani mwake.

Na Mungu ni hivo hivo, huwalinda na kuwatumia wateule wake (chosen one) kufanya kusudi lake.

Ukifanya yako na kumkataa Mungu yeye Mungu hana shida na wewe, lakini Mungu akitaka amtandike Mtu, Anachokifanya Mungu anakupa roho ya kukosana na wateule wake, hapo ndipo Mungu atajipatia wasaa mzuri wakukuadhibu,

Huwezi ukashindana na chosen one kwa lolote na ukashinda.
Sio mapenzi, sio ujuaji, sio umaarufu, sio heshima, sio kukubalika huwezi mzidi.

Mungu alimuingizia Samsoni nyege za kumpenda binti wa Kifilisti, Mungu akijua fika watajichanganya kumkela samason awape vitasa.

Usijichanganye kumuonea wivu chosen one.

Na mala nyingi hawa chosen one wanaonekanaga kwa macho ya nje kama ni watu dhaifu ila kumbe wanaukaribu sana na Mungu.

Chosen one akikasirika juu yako ni heri akulipe kisasi kwa mikono yake, lakini akiacha na kusema Mungu atamlipia, my friend kuhaibika kwako kupo karibu.

Umewahi kusikia mtu kamvunjia heshima mtu ambaye kesho yake huyo Mtu anatakiwa akupitishe upate cheo kikubwa cha kazi.

Siku zote chosen one hupata nafasi ya kulipa kisasi tena kwa urahis sana, na kama ulikosea pakubwa nafikiri huo ndio utakua mwisho wako wa maisha.

Pushpa
 
Bwashee upo sahihi , nahisi mimi ni chuzeni one wa kuzama chumvini bila huruma
Screenshot_2026-08-17_164220.jpg
 
Sure bwashee ,umenena kweli na yakini kabisa
Coz
[27]bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;

[28]tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;

[29]mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.
1 Wakorintho 1:27-29
 
Coz
[27]bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;

[28]tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;

[29]mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.
1 Wakorintho 1:27-29
Haya ni maneno ya maskini wakifariji tu Bwashee
 
Back
Top Bottom