Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Theodore Bagwell
C' Note Benjamin miles Franklin
C notrMwenye namba ya yule demu wa yule black american aliekuwaga mjeda wakamshikisha kesi ya ku smuggle bia kambini anitumie pm
Alikuwa "ko'' yaani kwao onehuyu jamaa alikuwa na akili sana,alikuwa TO wa huko kwao yani alipewa tuzo nyingi za kuongoza kwenye mitihani, elimu imelala hapo
Umesahau kisu kimoja hapo kinaitwa Sophia, dem wa James Wesla kule Panama. Aisee panama kuna watoto wazuri maana hata dem wa Ochela mbambe wa gerzani alikuwa kisu hatari.Mademu wazuri ni
Demu wa sucre
Demu wa c note
Demu wa lincon (mitaa kule sona beach)
mkuu asante anaitwa sophia (dem wa linconUmesahau kisu kimoja hapo kinaitwa Sophia, dem wa James Wesla kule Panama. Aisee panama kuna watoto wazuri maana hata dem wa Ochela mbambe wa gerzani alikuwa kisu hatari.
Hii ni list yangu ya madem wakali wa PB
Dem wa c-note
Sophia
Dem wa sucre
Dem wa Ochelo
Sarah
Wa sucre mkali balaaMademu wazuri ni
Demu wa sucre
Demu wa c note
Demu wa lincon (mitaa kule sona beach)
Usikasahau kale kademu ka yule dogo aliuawa na mahone pale kwenye gari..wakati wapo gerezan michael alitoka nae ila nje akamwambia ashike njia yake(sharobaro flan hiv alikuwa anapenda basket ball)Wa sucre mkali balaa
Sogo aliona bora afe kuliko kuwachoma wenzake. Maana mwanzo aliwahi wachoma akiwa gerezani. Malipo yake alipata mtesoUsikasahau kale kademu ka yule dogo aliuawa na mahone pale kwenye gari..wakati wapo gerezan michael alitoka nae ila nje akamwambia ashike njia yake(sharobaro flan hiv alikuwa anapenda basket ball)
Yap huyohuyo..sasa yule dem alikutananae kizari zari tu...anaitwa nani vileSogo aliona bora afe kuliko kuwachoma wenzake. Maana mwanzo aliwahi wachoma akiwa gerezani. Malipo yake alipata mteso
Yap huyohuyo..sasa yule dem alikutananae kizari zari tu...anaitwa nani vile
Huyu dada nampenda mpaka basi(mke wangu please asisome hii coment)
Mkuu ubarikiwe..Debra Jean Belle
Uzuri wa mtu ni mapenzi ya mtu binafsiMkuu ubarikiwe..
Huyu na demu wa sucre nani mkali
Tupia na kapicha ka dem wa sucre kama uko nayo jiraniUzuri wa mtu ni mapenzi ya mtu binafsi
Tupia na kapicha ka dem wa sucre kama uko nayo jirani
Dan umenikumbusha. Kweli yule dem ni mkali sio mchezoUsikasahau kale kademu ka yule dogo aliuawa na mahone pale kwenye gari..wakati wapo gerezan michael alitoka nae ila nje akamwambia ashike njia yake(sharobaro flan hiv alikuwa anapenda basket ball)
Ubarikiwe sana kwa kutuletea huyu malaika hapa