othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 7,524
- 11,860
Wakati bellick anaenda kupigana nae kakosa zile dawa alizotegemea zitamsaidia ashinde nilicheka sana, kafuata anaambiwa twende ukapigane abasema hakumaanisha sami, akakanyoonyeshea kidole kazee kamoja hivi hahahhaSami
Huyo dem wa dogo david Anaonekan kwenye season ya ngapi?Usikasahau kale kademu ka yule dogo aliuawa na mahone pale kwenye gari..wakati wapo gerezan michael alitoka nae ila nje akamwambia ashike njia yake(sharobaro flan hiv alikuwa anapenda basket ball)
karibu sana kwe series ya Prison Break, Game of Thrones, In to the Badland, the 100, The EmpireUbarikiwe sana kwa kutuletea huyu malaika hapa
Sio dada yule aliyekuwa Malaya wa mbabe wa jela black hiv kwenye jela ya Sona season ya 3 hiv me huyu ndo alinipagawisha ila sio sara ningependa nijue jina lake please
Demu wa c note anaitwa Nani?Mademu wazuri ni
Demu wa sucre
Demu wa c note
Demu wa lincon (mitaa kule sona beach)
Demu wa ochela ndio ninayemkubali Sana sijui anaitwa Nani? nitajie jina lake Kama unalijua?Umesahau kisu kimoja hapo kinaitwa Sophia, dem wa James Wesla kule Panama. Aisee panama kuna watoto wazuri maana hata dem wa Ochela mbambe wa gerzani alikuwa kisu hatari.
Hii ni list yangu ya madem wakali wa PB
Dem wa c-note
Sophia
Dem wa sucre
Dem wa Ochelo
Sarah
Wote hao hawamfikii demu wa yule black ochela mbabe wa jelaMkuu ubarikiwe..
Huyu na demu wa sucre nani mkali
Anaitwa Lechero mkuuWote hao hawamfikii demu wa yule black ochela mbabe wa jela
Mahone alikuwa hana masihara hata kidogo, ila hatimaye alikuja kujiunga na Crew.Sogo aliona bora afe kuliko kuwachoma wenzake. Maana mwanzo aliwahi wachoma akiwa gerezani. Malipo yake alipata mteso
Asante mkuu unaweza hata ukakatupia picha yake humu
Yule mchumba wake alikuwa anaitwa Nani?
nilikua simpendi yule jamaaMahone alikuwa hana masihara hata kidogo, ila hatimaye alikuja kujiunga na Crew.
dogo alibakwa mule jela mwisho wa siku akamtaka jamaa dushe na wembe😂