nakumbuka kuna wakati bellick alimeza ufunguo, scofield na brother wake wakamuekea poti aunye ufunguo, nilicheka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio T-Bag kweli aliyemeza funguo?
alikuwa ni T-bagwell jamaa kakosea.Mkuu series hukuiangalia vizuri. Kuna sehem Bellick anameza funguo???
👊👊👊👊Hadi sasa T-bagwell ndo mwenye kura nyingi kumbe tunaompenda T-bagwell tupo wengi.
Hiyo ni 5 au ngumi?👊👊👊👊
Yote majibu sahihi !!Hiyo ni 5 au ngumi?
Noma sana huyu mwamba !!
Pale alipomteka dr. Amuunge mkono wakeKwa upande wangu T-bagwell ndio alinivutia Sana namna alivyocheza kuanzia season 1 mpaka ya 4.zile swaga zake anazofanya akiwa anataka kitu muhimu alikuwa ananichekesha Sana, Jamaa alikuwa anapenda pesa ile mbaya alikuwa yupo radhi afoji jina la mtu mwingine Kama tu deal la hela anaweza kupata kupitia jina Hilo alilifanya hivi kwenye season 3.
Jambo lingine alikuwa kila Demu anadate nae alikuwa lazima amuuwe kasoro demu mmoja tu ndo alikuwa anampenda Sana kwa dhati ile mbaya ndo hakumuua.View attachment 1414826
Pale alipotoroka jela raia yoyote alipomuona na kutaka kumreport polisi alikuwa lazima amuuwe.Tabia nyingine alikuwa ana tabia ya kukugeuka ilimradi apate maslahi kwenye season 3 pale walipopelekwa kwenye ile jela la Sona ambalo ndani yake kulikuwa Hakuna walinzi zaidi ya wafungwa wenyewe kwenye Hilo jela akatafuta yupi ni mbabe wa pale jela akamuona akaona Bora awe ni kibaraka wake na akajifanya ni mpole kumbe ni katili kwelikweli ili aishi vizuri jela bila kubuguziwa baadae akamgeuka na kumuua baada ya kupata power alikuwa anaitaka na kuwa ndio mbabe mpya wa jela.
Je kwako ni character yupi ulimkubali kupitia series hii ya Prison break na Ni kwanini?

halafu mbaya zaidi anakuja kupigwa pingu ya mkono huo na pira linakaribia akaona isiwe tabu bwana weee akaukat mkono akimbie police ,,,Akilamba lips jipange kwenye tukioHalafu jamaa alikuwa anapenda Sana kulapa lips



Pale kaingizwa gerezani sasa tbag kaka kitanda cha juu mshikaji anawenge mara tbag anashuka aiseeeee nilicheka mnoo na kumwonea huruma sana mana hakuna kitu aliachwa kufanywaAlichonichekesha huyo jamaa ni alivyokuwa polisi alikuwa mbabe kwelikweli na alikuwa anawaonea Sana wafungwa ila baada tu kuondolewa polisi alikuwa mpole Kama pilitoni akawa anaonewa mpaka na T-bagwell.
Hahhahaaaaaaaa dah alikuwa akishafanya ivi ujipange kwa tukio litakalofata
Nilipenda ile episode ambayo anapewa kazi ya kuwazuga walinzi wa ubalozi wa india ili wakina michael waingie ndani ya consulate kuona christina scofield ana enda kusuka mipango gani..Halafu jamaa alikuwa anapenda Sana kulapa lips



KabisaT-bag hana mpinzani