Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Mbona hua unaandika vizuri sana tu

Shida sio kwamba hawakuelewi
Wewe hua unakuja na hitimisho hutaki mtu aseme tofauti na wewe

Ndio kupingana inavutia na kufanya mjadala uwe mzuri ila kwako hua tofauti hutaki kabisa mtu aende kinyume na mawazo yako

Wakati mimi nikifungua uzi wangu sitaki kua final say sababu watu wengi wanao comment wanajua sana kuliko mimi
Na hua naodoka na faida nyingi sana kwenye mada zangu
Nimekuelewa ila Kuna kitu personal nataka tuongee sio unacho kiwazia lakini😂 kuna pattern za uandishi hapa ambazo unazo ila kuzi elewa zaid inabidi tuongee
 
Huo wema au ubaya tuna uangalia kwa ile tabia yako kuu ukiacha mabadiliko madogo madogo ambayo karibia kila mtu anayo

Ni sahihi hata mtu mpolee akichokozwa lazima ata react
Sure ila nayo sio uhalisia wa mtu kwa asilimia zote. Tabia kuu hujengwa na personalization ya muda mrefu. Ambayo nayo hubadilika mtu akiamua
 
kuwa mtu mwema hiyo ni weakness tayar na watu wata take advantage na mwisho hautafika mbali,

Hakuna rewards ukiwa mtu mwema zaid ya disappointment.

Cheers kwa wenye roho mbaya wote🍻
 
kuwa mtu mwema hiyo ni weakness tayar na watu wata take advantage na mwisho hautafika mbali,
Hebu fafanunua
Kua mtu mwema ni weakness ki vp ?

Au ulitaka kusema kua mwema kupitiliza ndio inaweza kua mbaya kwa mtu ?

Maana kama dunia hii ingekua na watu mandindu tu sijui ingekuaje
Hakuna rewards ukiwa mtu mwema zaid ya disappointment.

Cheers kwa wenye roho mbaya wote🍻
No comment 🤣🤣
 
Hebu fafanunua
Kua mtu mwema ni weakness ki vp ?

Au ulitaka kusema kua mwema kupitiliza ndio inaweza kua mbaya kwa mtu ?
Vyote viwili, Universe haitambui mtu mwema au mbaya, yenyewe ina respond kutokana na vibration unayo provide baada ya tukio kufanyiwa.

Ukiwa mwema hata kidogo then ukawa disappointed na matokeo ya wema huo najua utalalamika sana,

Hapa kuna mfanya na mfanyiwa, aliekufanyia ubaya universe haiwezi muhukumu coz he/she doesn’t give a f*ck so no vibration there

Kwa wewe mfanyiwa kule kulalamika kwako kutapelekea universe ione you deserve kile kitu hence matukio ya aina hiyo ya kufanyiwa ubaya hayataisha maishani mwako mpaka uanze na wewe roho ngumu.
 
Interesting…. Wanasema hakuna mtu mbaya/mwema entirely.

Bali mtu anakuwa mwema/mbaya kulingana na vile anavyojisikia kuhusu wewe.

Ndio maana mtu akikuonesha ubaya kwa mara ya kwanza, muamini…. kwasababu kwanini amejisikia kuwa mbaya kwako kwa mara ya kwanza tu? Hajataka kukupa hata grace period…..
 
Back
Top Bottom