Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Labda nikupe mfano utanielewa lets say mwanaume anamwanamke mwenye tabia njema tu, lakini yeye anamtesa anamcheat na vitu kahizo unadhani huyu mwanamke haitafika stage awe mbaya pia?
Sasa kwanini awe mbaya na wakati kuna option ya kuondoka na kuanza moja?

Hivi hujui kua ubaya kumla mwenye nao?
 
Kwa mfano Mimi nikikutongoza ukanikataa,
Hapo wewe unakua ni mtu mwema au mtu mbaya?
Huwezi kuniona mtu mbaya
Ningekua mbaya kama ningekubali mwanzo kwa kukupa attention ya uongo

Ila kukaataa na kua muwazi hakuwezi kunifanya niwe mbaya kwako
Coz hujaiweka hoja yako specific kua huo ubaya na wema tunaupima kwenye angle gani.
Maana yangu ni kua

Je mtu akifanya nini?

Au akiwa na tabia zipi

unaweza kusema huyu ni mtu mwema au ni mtu mbaya
 
Ndio maana humu kwenye jukwaa huwa mnasema mtu anakuwa mbaya sababu ya trauma au mambo aliyipitia hazaliwi akiwa mbaya, au unapindisha ukweli ili hoja zako ziwe valid.
Hoja zangu sio sheria

Mtu anaweza kua mbaya kwa sababu ya trauma au mapito yake ndio

Lakini hii haiwezi kuhalalisha yeye kua tendea wengine ubaya

Ndio maana kuna nafasi ya kupona nakubadilika
 
Back
Top Bottom