Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Character Never Lies! Utamtambuaje Mtu Mwema au Mbaya?

Hili jambo ni pana
Mtu anaweza kuwa mwema ila wewe ukamfanya awe mbaya na ukamwona mbaya siku zote pasipo kujua ni wewe ulimfamya awe hivyo.
Inawezekana Yes
Ukimtendea mtu mabaya akashindwa kusamehe na kuamua kulipa kwa nguvu ile ile kulingana na matendo yako lazima utamuona mbaya tu
 
Inawezekana Yes
Ukimtendea mtu mabaya akashindwa kusamehe na kuamua kulipa kwa nguvu ile ile kulingana na matendo yako lazima utamuona mbaya tu
Exactly

Pia wapo manipulators ambao wanakuja kwa nyuso za uzuri na wema, ukiingia kingi wanapata walichofata unabaki kulia hii mbinu matapeli waliobobea pia hutumia.

Mtu anakuja kwako anawezekeza milioni 3 ila anaondoka na 20m pasipo nguvu kubwa bali wema kidogo unaweka imani nyingi kumbe ana kuset😂😂😂
 
Maana yangu ni kua

Je mtu akifanya nini?

Au akiwa na tabia zipi

unaweza kusema huyu ni mtu mwema au ni mtu mbaya
Huwezi kupata jibu la moja kwa moja,
Ni kama Kisu tu,ukikitumia Jikoni kukatia mboga,kitakua ni kizuri ila ukikitumia hicho hicho Kisu kwa kuua mtu,kitakua ni kibaya,

You have to observe their consistent behavior rather than just their words.
 
ShesRise_1 please nakuomba uje pm unifunze namna ya kuandika nyuzi...

Huwa nina kuwa na mawazo mengi sana ila uandishi sasa ni kipengele na wengi hawanielewi maana halisi ya kile nacho kiandika
 
BTW ni nyuzi nzuri na tafakarishi sana hii

Ila mawazo yangu ni kuwa hakuna mtu mzuri au mbaya essentially.

Kila mtu ana mbingu na jehanam ndani yake.

Ni vile tu tunaendana na mbingu za watu fulani na kuvumilia jehanam zao. Hao ndo tunawaita wema.

Ila hata wale wabaya nao wana mbingu zao nzuri tu, sema jehanam zao hatuwezi kuzi handle
 
Huwezi kupata jibu la moja kwa moja,
Ni kama Kisu tu,ukikitumia Jikoni kukatia mboga,kitakua ni kizuri ila ukikitumia hicho hicho Kisu kwa kuua mtu,kitakua ni kibaya,
Ni sawa lakini kila mtu ana
Main characteristics
You have to observe their consistent behavior rather than just their words.
Exactly
 
Exactly

Pia wapo manipulators ambao wanakuja kwa nyuso za uzuri na wema, ukiingia kingi wanapata walichofata unabaki kulia hii mbinu matapeli waliobobea pia hutumia.

Mtu anakuja kwako anawezekeza milioni 3 ila anaondoka na 20m pasipo nguvu kubwa bali wema kidogo unaweka imani nyingi kumbe ana kuset😂😂😂
Hawa sasa ndio wakali wa acting hakupi hata chance ya ku imagine 🤣🤣
 
ShesRise_1 please nakuomba uje pm unifunze namna ya kuandika nyuzi...

Huwa nina kuwa na mawazo mengi sana ila uandishi sasa ni kipengele na wengi hawanielewi maana halisi ya kile nacho kiandika
Mbona hua unaandika vizuri sana tu

Shida sio kwamba hawakuelewi
Wewe hua unakuja na hitimisho hutaki mtu aseme tofauti na wewe

Ndio kupingana inavutia na kufanya mjadala uwe mzuri ila kwako hua tofauti hutaki kabisa mtu aende kinyume na mawazo yako

Wakati mimi nikifungua uzi wangu sitaki kua final say sababu watu wengi wanao comment wanajua sana kuliko mimi
Na hua naodoka na faida nyingi sana kwenye mada zangu
 
Hoja zangu sio sheria

Mtu anaweza kua mbaya kwa sababu ya trauma au mapito yake ndio

Lakini hii haiwezi kuhalalisha yeye kua tendea wengine ubaya

Ndio maana kuna nafasi ya kupona nakubadilika
Exactly hapo umekuja vizuri inabidi ukubali uhalisia kisha ujenge hoja na sio kukwepa

Sikupingi bidada
 
BTW ni nyuzi nzuri na tafakarishi sana hii

Ila mawazo yangu ni kuwa hakuna mtu mzuri au mbaya essentially.
Huo wema au ubaya tuna uangalia kwa ile tabia yako kuu ukiacha mabadiliko madogo madogo ambayo karibia kila mtu anayo
Kila mtu ana mbingu na jehanam ndani yake.

Ni vile tu tunaendana na mbingu za watu fulani na kuvumilia jehanam zao. Hao ndo tunawaita wema.

Ila hata wale wabaya nao wana mbingu zao nzuri tu, sema jehanam zao hatuwezi kuzi handle
Ni sahihi hata mtu mpolee akichokozwa lazima ata react
 
Back
Top Bottom