Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,101
- 128,716
Wanabodi,
Angalizo: Naomba kuanza bandiko hili kwa kutoa angalizo muhimu kuwa hapa simzungumzii mtu yeyote specific, bali naendesha somo la psychoanalysis ya hypothetical situation ya hulka za watu wenye tabia za udikiteta katili, kitu kinachoitwa "character assassinations" ndio "modus operandi" ya madikiteta wote katili duniani, na huanza kwa kuwa populist leaders kwa kuonyesha heroic actions hivyo kushangiliwa sana na umati za watu, kama viongozi mashujaa na kupendwa sana na watu!, tena watafanya actions nyingi za utu na huruma ila kiukweli ni machoni tuu ni kama watu lakini mioyoni ni ma sadist.
Sababu za Watu Kuwa Madikiteta ni Deep Rooted Neurosis
Hulka hizo za udikiteta zinatokana na kitu kinachoitwa "deep rooted neurosis" kwa baadhi ya madikiteta hawa kuwa waliteswa sana utotoni!, baadhi yao walikataliwa ndani ya familia zao!, na hii hutokea pale baba anapohisi huenda mtoto huyo sii wa kwake kwa kumhisi mkewe alichepuka!, mama naye kamwe hawezi kukiri kuwa alichepuka hata kama ni kweli alichepuka, (ukweli mwingine ni bora usisemwe kamwe), hivyo baba anakuwa anamtesa sana mtoto huyo, huku mama hawezi kuingilia kwa sababu anaujua ukweli!.
Madikiteta Wengi, Wamekulia Kwenye Mazingira Magumu ya Mateso na Rejection
Mtoto wa aina hiyo anakuwa amekulia katika mateso makubwa ya ukatili, mateso ya kisaokolojia, mateso ya kutumikishwa hadi mateso ya mwili, vitu vyote hivi ukivijumlisha, vinamletea mtoto huyu usongo mkubwa wa mawazo, na kumbukumbu za mateso haya huhifadhiwa kwenye subconscious mind, hivyo unaomtia hasira kusoma kwa bidii na huku ana visasi ili kuonyesha mateso hayo ni jambo la kupita tuu!.
Watoto Wa Mazingira Magumu, Hufanikiwa Sana
Na kweli wengi wa watoto wa aina hii, huja kufanikiwa sana kimaisha, na wakiishafika at the top!, ndipo ile "deep rooted neurosis" ya kumbukumbu ya mateso ya utotoni iliyohifadhiwa kwenye "sub conscious mind" inaibuka na kupelekea kumfanya mtu huyo kuwa katili!, sadist, kuongea kwa ukali, kuongea kwa hasira, kutokushaurika, na kutawaliwa na u mimi, mimi ndio kila kitu, etc, na hufikia stage ya ku inflict pain kwa njia za cruelty, torture or character assassinations, anaumiza na akiona mtu anaumia yeye ndio anapata furaha na gratification!,
Sometimes ukatili huu huingia hata katika familia kwa baba au mama kuwa mkali kupindukia, kuchapa sana watoto, na ukatili huu huingia hadi katika mapenzi kwa kumpiga sana mpenzi wake au mke wake, baadhi ya wanaume wanakuwa ni wabakaji, huku wanawake wakipenda kubakwa au kupigwa kwanza kabla ya tendo. Hii ya ukatili kwenye mapenzi inaitwa masochism, wahusika wanaitwa masochistic, au macho men & women.
Madikiteta wa Roma ya Kale Walifanya Nini?
Madikiteta wa Roma ya kale, waliandaa michezo ya kupigana ya ma gladiators mnapigana hadi mmoja afe!. yule gladiators mwenye nguvu kuliko wote, anakuja kuletwa pale kwenye Colosium (stadium) na kusakiziwa simba watatu wenye njaa ya siku 7, huku watu wamejaa kushuhudia jinsi binadamu anavyoraruwa na simba, damu kutapakaa huku watu wanashangilia!.
Batista, Hitler na Musolini Walifanya Nini?
Adolf Hitler yeye alikuwa akinyoosha mistari ya jeshi lake kwa risasi za moto, anayepindisha tuu, anakula hapo hapo!. Idi Amini Dada yeye alikuwa anatumia kikosi kinachoitwa "firing squad", lengo ni kuogofya!.
Dalili ya Kwanza ya Kuelekea Kwenye Udikiteta ni Ku Crush The Opposition
Hivyo wandugu, tusije wote tukawa washangiliaji wa hiki kinachoendelea sasa nchini mwetu kwa utawala wa kuogofya tukitaraji tutafika mwisho mwema na wote watanyooka, kumbe huu ukawa ndio kwanza ni mwanzo tuu wa makubwa yajayo!.
Naomba kumalizia kwa msisitizo, kuna aina mbili za madikiteta!. Kuna Madikiteta Katili na Madikiteta wazuri!. Mada hii inawazungumzia madikiteta katili!, hivyo nawaomba wachangiaji msije kuanza kuchanganya madawa mkaanza kuwadhania watu humu!.
Namalizia kwa swali, jee wote tunaoshagilia hizi character assassination za sasa, ambazo we take them as "the sweet", jee tuko tayari to "to take the bitter with the sweet" ambao huu ni wakati tunashangilia kuwa hivi vidonge vitamu, tunavimeza kwa furaha na raha zetu huku tukishangilia!, jee wakati wa vidonge vichungu ukifika, pia tutavimeza kwa uchungu huku tukilia?, au tutaendelea tuu kuchagua ni vidoge gani tumeze!, vile vidonge vitamu tuu ndio tumeze, lakini vile vidoge vichungu tuteme?!.
Kwa sasa tuendelee kuuchekea huu udikiteta huku tukiushangilia kwa furaha, ila ukifikia wakati wa kulia, naombeni sana tusianze kulalamika, pia tulie kwa furaha maana tulipoanza kuyaona, tulishangilia, yakitukuta ya kutukuta, pia tushangilie!.
Sisi wengine wenzenu ni waona mbali.
Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Update
Angalizo: Naomba kuanza bandiko hili kwa kutoa angalizo muhimu kuwa hapa simzungumzii mtu yeyote specific, bali naendesha somo la psychoanalysis ya hypothetical situation ya hulka za watu wenye tabia za udikiteta katili, kitu kinachoitwa "character assassinations" ndio "modus operandi" ya madikiteta wote katili duniani, na huanza kwa kuwa populist leaders kwa kuonyesha heroic actions hivyo kushangiliwa sana na umati za watu, kama viongozi mashujaa na kupendwa sana na watu!, tena watafanya actions nyingi za utu na huruma ila kiukweli ni machoni tuu ni kama watu lakini mioyoni ni ma sadist.
Sababu za Watu Kuwa Madikiteta ni Deep Rooted Neurosis
Hulka hizo za udikiteta zinatokana na kitu kinachoitwa "deep rooted neurosis" kwa baadhi ya madikiteta hawa kuwa waliteswa sana utotoni!, baadhi yao walikataliwa ndani ya familia zao!, na hii hutokea pale baba anapohisi huenda mtoto huyo sii wa kwake kwa kumhisi mkewe alichepuka!, mama naye kamwe hawezi kukiri kuwa alichepuka hata kama ni kweli alichepuka, (ukweli mwingine ni bora usisemwe kamwe), hivyo baba anakuwa anamtesa sana mtoto huyo, huku mama hawezi kuingilia kwa sababu anaujua ukweli!.
Madikiteta Wengi, Wamekulia Kwenye Mazingira Magumu ya Mateso na Rejection
Mtoto wa aina hiyo anakuwa amekulia katika mateso makubwa ya ukatili, mateso ya kisaokolojia, mateso ya kutumikishwa hadi mateso ya mwili, vitu vyote hivi ukivijumlisha, vinamletea mtoto huyu usongo mkubwa wa mawazo, na kumbukumbu za mateso haya huhifadhiwa kwenye subconscious mind, hivyo unaomtia hasira kusoma kwa bidii na huku ana visasi ili kuonyesha mateso hayo ni jambo la kupita tuu!.
Watoto Wa Mazingira Magumu, Hufanikiwa Sana
Na kweli wengi wa watoto wa aina hii, huja kufanikiwa sana kimaisha, na wakiishafika at the top!, ndipo ile "deep rooted neurosis" ya kumbukumbu ya mateso ya utotoni iliyohifadhiwa kwenye "sub conscious mind" inaibuka na kupelekea kumfanya mtu huyo kuwa katili!, sadist, kuongea kwa ukali, kuongea kwa hasira, kutokushaurika, na kutawaliwa na u mimi, mimi ndio kila kitu, etc, na hufikia stage ya ku inflict pain kwa njia za cruelty, torture or character assassinations, anaumiza na akiona mtu anaumia yeye ndio anapata furaha na gratification!,
Sometimes ukatili huu huingia hata katika familia kwa baba au mama kuwa mkali kupindukia, kuchapa sana watoto, na ukatili huu huingia hadi katika mapenzi kwa kumpiga sana mpenzi wake au mke wake, baadhi ya wanaume wanakuwa ni wabakaji, huku wanawake wakipenda kubakwa au kupigwa kwanza kabla ya tendo. Hii ya ukatili kwenye mapenzi inaitwa masochism, wahusika wanaitwa masochistic, au macho men & women.
Madikiteta wa Roma ya Kale Walifanya Nini?
Madikiteta wa Roma ya kale, waliandaa michezo ya kupigana ya ma gladiators mnapigana hadi mmoja afe!. yule gladiators mwenye nguvu kuliko wote, anakuja kuletwa pale kwenye Colosium (stadium) na kusakiziwa simba watatu wenye njaa ya siku 7, huku watu wamejaa kushuhudia jinsi binadamu anavyoraruwa na simba, damu kutapakaa huku watu wanashangilia!.
Batista, Hitler na Musolini Walifanya Nini?
Adolf Hitler yeye alikuwa akinyoosha mistari ya jeshi lake kwa risasi za moto, anayepindisha tuu, anakula hapo hapo!. Idi Amini Dada yeye alikuwa anatumia kikosi kinachoitwa "firing squad", lengo ni kuogofya!.
Dalili ya Kwanza ya Kuelekea Kwenye Udikiteta ni Ku Crush The Opposition
Hivyo wandugu, tusije wote tukawa washangiliaji wa hiki kinachoendelea sasa nchini mwetu kwa utawala wa kuogofya tukitaraji tutafika mwisho mwema na wote watanyooka, kumbe huu ukawa ndio kwanza ni mwanzo tuu wa makubwa yajayo!.
Naomba kumalizia kwa msisitizo, kuna aina mbili za madikiteta!. Kuna Madikiteta Katili na Madikiteta wazuri!. Mada hii inawazungumzia madikiteta katili!, hivyo nawaomba wachangiaji msije kuanza kuchanganya madawa mkaanza kuwadhania watu humu!.
Namalizia kwa swali, jee wote tunaoshagilia hizi character assassination za sasa, ambazo we take them as "the sweet", jee tuko tayari to "to take the bitter with the sweet" ambao huu ni wakati tunashangilia kuwa hivi vidonge vitamu, tunavimeza kwa furaha na raha zetu huku tukishangilia!, jee wakati wa vidonge vichungu ukifika, pia tutavimeza kwa uchungu huku tukilia?, au tutaendelea tuu kuchagua ni vidoge gani tumeze!, vile vidonge vitamu tuu ndio tumeze, lakini vile vidoge vichungu tuteme?!.
Kwa sasa tuendelee kuuchekea huu udikiteta huku tukiushangilia kwa furaha, ila ukifikia wakati wa kulia, naombeni sana tusianze kulalamika, pia tulie kwa furaha maana tulipoanza kuyaona, tulishangilia, yakitukuta ya kutukuta, pia tushangilie!.
Sisi wengine wenzenu ni waona mbali.
Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Update
By common definition and meaning of Character assassination, from Wikipedia
Character assassination is a deliberate and sustained process that aims to destroy the credibility and reputation of a person, institution, social group, or nation. Agents of character assassinations employ a mix of open and covert methods to achieve their goals, such as raising false accusations, planting and fostering rumours, and manipulating information.
Character assassination is an attempt to tarnish a person's reputation. It may involve exaggeration, misleading half-truths, or manipulation of facts to present an untrue picture of the targeted person. It is a form of defamation and can be a form of ad hominem argument.
For living individuals targeted by character assassination attempts, this may result in being rejected by their community, family, or members of their living or work environment. Such acts are often difficult to reverse or rectify, and the process is likened to a literal assassination of a human life. The damage sustained can last a lifetime or, for historical figures, for many centuries after their death.
Now work it out yourself, as am not intending to get into personal arguments with you or anybody here. I only want you to understand things from inner perspectives!
cc Pascal Mayalla