Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,471
- 2,674
Surat Al-Baqarah (2:34):
"Na tulipowaambia Malaika: Mumsujudieni Adam, wakasujudu isipokuwa Iblis. Alikataa na akajivuna, na alikuwa miongoni mwa makafiri."
Pia inatajwa katika:
Surat Sad (38:71–72):
"Mwenyezi Mungu alisema: Hakika Mimi ninamuumba mwanadamu kwa udongo. Basi nitakapomtengeneza na kumvuvia roho Yangu, basi angukieni kumsujudia."
Aya ya 73:
"Malaika wote wakasujudu wote pamoja,"
inakuwaje Allah anawaamuru malaika wamsujudie kiumbe aliyeumbwa kama wao ndugu zangu katika imani msaada tafadhal. @ everyone
"Na tulipowaambia Malaika: Mumsujudieni Adam, wakasujudu isipokuwa Iblis. Alikataa na akajivuna, na alikuwa miongoni mwa makafiri."
Pia inatajwa katika:
- Surat Al-A'raf (7:11–12)
- Surat Sad (38:71–74)
- Surat Al-Hijr (15: 28- 31)
Surat Sad (38:71–72):
"Mwenyezi Mungu alisema: Hakika Mimi ninamuumba mwanadamu kwa udongo. Basi nitakapomtengeneza na kumvuvia roho Yangu, basi angukieni kumsujudia."
Aya ya 73:
"Malaika wote wakasujudu wote pamoja,"
inakuwaje Allah anawaamuru malaika wamsujudie kiumbe aliyeumbwa kama wao ndugu zangu katika imani msaada tafadhal. @ everyone