Chanzo cha shetwan ( shetani ) ni nini katika uislam?

Chanzo cha shetwan ( shetani ) ni nini katika uislam?

sasa ilikuwaje allah anamuamuru jinni amsujudie kiumbe adam........???au wa kusujudiwa ni nani na nan kwa mujibubwa quruan tukufu wewe unachanganya kati ya kuabudu na kusujudu

Wewe unachanganya kati ya kuabudu na kusujudu.
 
kwaiyo kumsujudia mtu au kiumbe kingne tofauti na allah inaruhusiwa??
Ndio,,,lakini isiwe unafanya hivyo kwa maana ya kumuabudu,ni heshima na utii.

Ibada ni mchakato au mtindo wa maisha wa kumtukuza Mungu kwa unyenyekevu na utiifu, na kusujudia ni njia mojawapo ya kuonyesha heshima ndani ya ibada au heshima kwa mtu au kitu kingine.
 
Ndio,,,lakini isiwe unafanya hivyo kwa maana ya kumuabudu,ni heshima na utii.

Ibada ni mchakato au mtindo wa maisha wa kumtukuza Mungu kwa unyenyekevu na utiifu, na kusujudia ni njia mojawapo ya kuonyesha heshima ndani ya ibada au heshima kwa mtu au kitu kingine.
sawa mm nikajua wakusujudiwa ni allah tu.
 
Muhammad borrowed from Paul the apostle...
The main goal in Quaran scriptures is to suppress life preservation instincts and attain priesthood goal of herd instinct development...

Nyani kuabudiwa na mashetani ni kioja cha karne.
 
Back
Top Bottom