Chanzo cha mto Nile kipo Tanzania?

Chanzo cha mto Nile kipo Tanzania?

Inawezekana hili la Nile hatulijui kabisa
hatuna taarifa hata kama 'source ya Nile ni big deal kiutalii duniani'
Lakini ujue hata kama lake victoria ndo chanzo cha Nile,haiwezi kuwa Tanzania lazima itakuwa upande wa Uganda kwenye maporomoko
 
Lakini ujue hata kama lake victoria ndo chanzo cha Nile,haiwezi kuwa Tanzania lazima itakuwa upande wa Uganda kwenye maporomoko

Vicky kuna point unai miss hapa kabisa
sijasema Lake Victoria ni source ya Nile
na wala kwenye hiko kipindi hawakusema ni lake Victoria
waliipata source nyingine ambayo ni kama chem chem au mto uliokufa hivi...

so naamini hapo umeelewa now....sipo kabisa kwenye Lke Victoria....

mimi mwenyewe nilikua najua source ni mto Kagera maybe..wao walienda Mara wakapata mto mwingine au chem chem ingine.....mbali na ziwa Victoria....
 
Hapa unatudanganya alievuta maji ni Mkapa,Lowasa akiwa waziri wa maji

Nisome vizuri, nimeandika Mkapa alilianzisha, naam aliuanzisha, lakini mradi ulisimamishwa baada ya wa Egypt kuja kulalamika sana na mwishowe wakaleta mitambo yakuchimbia visima badala ya kuyavuta maji kutoka Victoria. Mradi ukarudishwa tena na Kikwete.

Sina sababu ya kudanganya, ili iweje?
 
Vicky kuna point unai miss hapa kabisa
sijasema Lake Victoria ni source ya Nile
na wala kwenye hiko kipindi hawakusema ni lake Victoria
waliipata source nyingine ambayo ni kama chem chem au mto uliokufa hivi...

so naamini hapo umeelewa now....sipo kabisa kwenye Lke Victoria....

mimi mwenyewe nilikua najua source ni mto Kagera maybe..wao walienda Mara wakapata mto mwingine au chem chem ingine.....mbali na ziwa Victoria....
haiwezi kuwa Tanzania,itakuwa milimani huko Rwanda na Burundi
 
Halafu kuna watu wanajidai "oooh Kikwete kafanya nini?", waulizeni wanaopata maji ya Victoria sasa hivi Kikwete kafanya nini.

Unaiweza sana kazi ya public relation officer.

Lakini interest yangu ni baada ya JK kuondoka madarakani utakuwa "public relation officer" wa nani.

Atakayekuhitaji baada ya JK lazima price tag yako itakuwa juu.
 
sasa imagine wanakuja Tanzania utawapeleka wapi,na uwaambie hii ndo possible source ya Nile?

Tunawapeleka huko Mara kwenye huo mto ambao hao jamaa wa Uingereza wame claim ni source...
au mto Kagera au kwenye mabonde ya ufa huko jirani na ziwa Victoria...
 
Kwa nini watu wengi wanaupindisha ukweli kuhusu mto nile,

watanzania ni kujifariji , kusema kwamba mto nile chanzo chake ni tanzania.

ukweli kuhusu huu mto huu unaanzia afrika ya mashariki kwa maana ya kwamba ziwa victoria limeingia uganda na kenya,
ni bora ikaudwa tume yakukusanya mapato yanatokana na utalii kupitie ule mto yagawanywe katika nchi hizi tatu.

kwa nini mnasema mto nile unaanzia tanzania???
 
Uganda wanajinadi
Burundi wanajinadi
Ethiopia wanajinadi..
hata Rwanda nao wameanza

Why sisi hatujinadi kabisa?

Mkuu hao wengine wanajinadi kwa kuwa wana sehemu za kuonesha kuwa ndio vyanzo....

Je sisi tutaonesha nini; ziwa lenyewe, mto Mara au Kagera?
 
Inawezekana hili la Nile hatulijui kabisa
hatuna taarifa hata kama 'source ya Nile ni big deal kiutalii duniani'

Pia inawezekana tunalijua hili lakini kwa vile tuna tuna tourist attractions sites nyingi kulinganisha na Uganda, etc ndo maana wao wamejikita zaidi kwenye chanzo cha mto Nile kama kivutio cha utalii.

Tusibiri labda tembo wakiisha, tutaenda huko mto Nile kutangaza utalii.
 
Mkuu hao wengine wanajinadi kwa kuwa wana sehemu za kuonesha kuwa ndio vyanzo....

Je sisi tutaonesha nini; ziwa lenyewe, mto Mara au Kagera?


Ukitazama hiko kipindi utaona hii ishu ni 'very controversial ' kama alivyosema EMT
hata tukiwaonesha mto Kagera ni sawa tu
but kupitia hiko kipindi kuna mto mkoa wa Mara ndo wanadai huo ndo 'real source'
tunaweza onyesha huo mto
mbona hao waingeeza wametoka Uingereza kupitia Rwanda na Uganda na still wakaja ku claim huo mto?
 
Last edited by a moderator:
Unaiweza sana kazi ya public relation officer.

Lakini interest yangu ni baada ya JK kuondoka madarakani utakuwa "public relation officer" wa nani.

Atakayekuhitaji baada ya JK lazima price tag yako itakuwa juu.

Kikwete anaonewa sana humu, watu wanamchukia bila sabab lakini ni mtendaji hodari sana. Kaibadilisha sana Tanzania, kuanzia mawasiliano, uchumi, maisha bora, viwanda, international relatuon, utalii, demokrasia mpaka the way ya thinking ya watu imekuwa bora kuliko wakati wowote ule.

Kuna mtu mmoja tukiishi nae Canada, hajaja Taanzania kwa miaka 15, July iliypita amekuja kuwatembeea jamaa zake, alishangaa sana alipoiona Dar ilivyobadilika. Akasema sasa naamini Tanzania kuna mabadiliko. Unajuwa ukiwa humu ndani huyaoni mabadiliko yaliyopo Tanzania, kaa nje halafu urudi hapa ndiyo uta appreciate.

Kuan mwingine shoga'ngu anaishi Sinza, anasema hawajawahi kuona maji bombani kwa miaka kabla ya Kikwete, lakini leo mwaka wa tatu, anasema maji yanapanda mpaka juu ya matenki yenyewe bila pampu. Huoni kuwa ni maisha bora hayo?

Akiondoka Kikwete, In sha Allah, ntakuwa upande wa yeyote yule anaefanya kweli halafu anaonewa. Bure.
 
Tunawapeleka huko Mara kwenye huo mto ambao hao jamaa wa Uingereza wame claim ni source...
au mto Kagera au kwenye mabonde ya ufa huko jirani na ziwa Victoria...

Unakumbuka wakati wa genocide ya Rwanda miili ya watu ilikuwa inakuja na mto Kagera na kuingia ziwani?

Hapo mtu anaweza kudai kuwa kama source ya Nile ni mto Kagera, basi watalii wapelekwe Rwanda yanakotoka maji yaliyoleta ile miili ya watu unless waliileta mpaka mpakani na kuirushia kwenye mto.
 
Tunawapeleka huko Mara kwenye huo mto ambao hao jamaa wa Uingereza wame claim ni source...
au mto Kagera au kwenye mabonde ya ufa huko jirani na ziwa Victoria...
Labda mto kagera,ila kumbuka pia mto kagera chanzo cheke kipo Burundi
 
hahahaha Kariakoo Dar,siyo escrow kwa Jk na Ruge?

Escrow ni akaunti iliyokuwa inatunza fedha za waliotoa huduma ya kufuwa umeme. Naam, inahusiana na Ruge, kachukuwa fedha yake asilimia 30 ya kuiuza kampuni kwa Hbinder Singh Sethi. Na JK kama unamaanisha Kikwete, kayatolea maamuzi maazimio ya hili sakata la escrow yaliyofikishwa kwake, sasa inabaki kuwa historia.

Halafu katika Marais ambao hawajawahi kuishi Kariakoo nadhani huyu Kikwete hajawahi kuishi Kariakoo, lakini waliobaki wote, Nyerere, Mwinyi na Mkapa mpaka nyumba walizokuwa wakiishi Kariakoo zote nazijuwa.

Kikwete labda akija kwa jamaa, ndugu na rafiki zake, na barza yake ya pale Saigon, lakini kuishi Kariakoo, sijuwi? labda.

Kikwete yuko juu sana ukilinganisha na Marais wote wa kabla yake.
 
Unakumbuka wakati wa genocide ya Rwanda miili ya watu ilikuwa inakuja na mto Kagera na kuingia ziwani?

Hapo mtu anaweza kudai kuwa kama source ya Nile ni mto Kagera, basi watalii wapelekwe Rwanda yanakotoka maji yaliyoleta ile miili ya watu unless waliileta mpaka mpakani na kuirushia kwenye mto.


Shida yetu ni 'akili kulala tu'
still huo mto Kagera unaweza atract tourist kama ulivyo tu
tunaweza finds 'other words to use it' kuliko hilo la source of Nile

mfano Kilimanjaro ni 'the highest stand alone single mountain in the world'
but hatutumii hiyo title kabisa
tumekazana kusema tu ni highest in africa..
 
Back
Top Bottom