Chanzo cha mto Nile kipo Tanzania?

Chanzo cha mto Nile kipo Tanzania?

Mbona unatu mix?
nile inaenda kumwaga maji Mediterranean...sasa mwisho iwe Victoria?
na sio Mediterranean sea?
mimi namaanisha nile river inamwaga maji yake pia kwenye lake victoria,hivyo lake victoria haiwezi kuwa chanzo,huyu speke alitudanganya tu.
 
mimi namaanisha nile river inamwaga maji yake pia kwenye lake victoria,hivyo lake victoria haiwezi kuwa chanzo,huyu speke alitudanganya tu.

Nile river ipi?Kagera river?
 
source ya Nile river ipo Burundi

Vicky utazame hiko kipindi please
Hao Waingereza walienda hadi Burundi mwisho wakafika Mara baada ya kukatiza Serengeti
ndo wakatangaza kuipata hiyo source
 
Kuna Mjapan mmoja alikuja Tanzania katika kutayarisha thesis yake PhD kuhusu anthropology, ilikuwa akae miezi sita akakaa miaka 6. Aliporudi kwao akaulizwa, vipi Tanzania mbona umekaa sana? Akasema, Tanzania ni nchi ya ajabu sana, kwanini? akajibu nilipotoka Japan kwenda Tanzania nilikuwa siamini kama Mungu yupo, sasa naamini Mungu yupo tena yupo Tanzania...

Unaweza kutupatia title ya PhD yake please?

Au hata jina lake tuu nitamtafuta anipatie copy yake.

Naamini siyo tuu Kiranga bali hata wale wapinzani wake juu ya uwepo wa Mungu watakuwa interested kusoma haya makitu.
 
Last edited by a moderator:
Labada mto Kagera ingawa maji mengi ya Nile yanatoka Blue Nile Ethiopia, kama more than 80% ya maji yote
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Labada mto Kagera ingawa maji mengi ya Nile yanatoka Blue Nile Ethiopia, kama more than 80% ya maji yote

Blue nile inaanzia wapi?
je hakuna mito mingine inayomwaga maji ziwa Victoria?
 
Vicky utazame hiko kipindi please
Hao Waingereza walienda hadi Burundi mwisho wakafika Mara baada ya kukatiza Serengeti
ndo wakatangaza kuipata hiyo source
kagera river na ruvubu river source yake ni Burundi,na ndiyo source ya nile river
 
Wataalam wekeni ramani basi!! Mbona maneno tuu. Hicho chanzo cha Tz ni kwa mto gani? Upo mkoa gani Wilaya gani! Karibu na kijiji gani? Ninashauku ya kufahamu. Tuangalie maana isiwe fikia Uganda au Burundi au etc. wakatuona kama Kenya wanavyodanganya kuwa Mluma Kili upo Kenya!!
 
Na kama kweli victoria ndio chanzo, kuna sehemu nimeona hii...

"Geological studies have shown that the lake has dried up completely a few times in the past. The last time was approximately 17,300 years ago"

Je civilisation ya misri kuna nyakati zozote ilifutika?
 
Wataalam wekeni ramani basi!! Mbona maneno tuu. Hicho chanzo cha Tz ni kwa mto gani? Upo mkoa gani Wilaya gani! Karibu na kijiji gani? Ninashauku ya kufahamu. Tuangalie maana isiwe fikia Uganda au Burundi au etc. wakatuona kama Kenya wanavyodanganya kuwa Mluma Kili upo Kenya!!

mimi nimeweka link ili watu watazame wanaojua zaidi watuambie
mimi nilicho ona ni hao wazungu wakitafuta source ya nile
kwa kipindi chao cha tv kinaitwa 'top gear'
kiko you tube na walipita huko burundi,kagera ,uganda mwisho wakafika mkoa wa Mara ndo wakakiona
 
Na hapa mjue tunaongelea White nile,nadhani Ripon falls ndo starting point ya mto white nile,ila source ndo ipo burundi,halafu ile blue nile inaanzia lake Tana Ethiopia
 
ila hapo lake victoria inapita tu

Hahahahaaa. Ila hawa jamaa nawapenda jinsi wanavyojua ku-popularise series zao.

Nilivyosoma heading wanakuja East Africa, nikajua hawa hawaji kwa ajili ya kutest magari kwenye Safari Rally.

They like controversies. Kama kule Argentina walivyoweka plate number ya FKL walikuwa wanajua wanachotafuta.

"That is a proud moment - but there's a slope on it" - Jeremy Clarkson.

"You're right, it's definitely higher on that side" - Richard Hammond.
 
ulisoma shule gani mpaka usijue kuwa chanzo cha mto nile ni ziwa victoria
 
Back
Top Bottom