Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Mapenzi ya jinsia moja umeanza muda mrefu sana tangu karne ya 8. Bahati nzuri kipindi hiki hakukuwa na media kama sasa. Ni kipindi ambacho biashara ya utumwa ilishamiri sana.

Wanaume ndio walikuwa wanahitajika zaidi kuliko wanawake. Hivyo basi kutokana na kusafiri muda mrefu kwenye majahazi, historia iliyofichwa inaeleza wale MABWANA walikuwa wanawafanyia vibaya kinyume na maumbile wale watumwa.

Unabisha? Hii ilitokana na kukaa muda mrefu njiani, chakula kikuu kilikuwa biriani ambayo ina mafuta mengi sana. Biriani ilipunguza gharama sana muda mwingi watumwa waliishia kunywa maji...

Back to topic: Fuatilia maeneo mengi ambayo wamepita wale MABWANA na kukaa muda mrefu kuna haya mambo sana..

NAYAONA MAMBO HAYA ZAIDI ULAYA KULIKO NCHI ZA KIARABU KAMA USEMAVYO. VP WAZUNGU NAO WALICHUKULIWA KWENYE MAJAHAZI?!!!!
 
Naona kila mtu anasafisha upande wake hivi mtu anaweza akasema sodoma na Gomorrah ilikuwa bara gani nadhani huku ndo ilipoanzia. Kote kwingine ni kusambaa kwa dhambi tu
 
Naona kila mtu anasafisha upande wake hivi mtu anaweza akasema sodoma na Gomorrah ilikuwa bara gani nadhani huku ndo ilipoanzia. Kote kwingine ni kusambaa kwa dhambi tu
Sodoma na gomora ni ngano ya kidini, si kweli
 
Mapenzi ya jinsia moja umeanza muda mrefu sana tangu karne ya 8. Bahati nzuri kipindi hiki hakukuwa na media kama sasa. Ni kipindi ambacho biashara ya utumwa ilishamiri sana.

Wanaume ndio walikuwa wanahitajika zaidi kuliko wanawake. Hivyo basi kutokana na kusafiri muda mrefu kwenye majahazi, historia iliyofichwa inaeleza wale MABWANA walikuwa wanawafanyia vibaya kinyume na maumbile wale watumwa.

Unabisha? Hii ilitokana na kukaa muda mrefu njiani, chakula kikuu kilikuwa biriani ambayo ina mafuta mengi sana. Biriani ilipunguza gharama sana muda mwingi watumwa waliishia kunywa maji...

Back to topic: Fuatilia maeneo mengi ambayo wamepita wale MABWANA na kukaa muda mrefu kuna haya mambo sana..
Mkuu unamaana gani kuleta ni mada? Au wewe ni miongoni mwao?
 
Kwa ulimwengu wa sasa ni mambo ya ajabu kusikia au kuona haya mambo ya ushoga. Lakini fikiria aina ya filamu vijana wanazo tazama tena pamoja na wadogo zao, utakuta filamu wanaume kwa wanaume wanapigana denda au wanawake kwa wanawake wakisagana. Lakini kwasababu filamu ni kali watu bado wanatazama.
Binadamu hujifunza zaidi kwa kutazama kuliko kusoma, leo hii mambo haya ya kishoga yameingia hadi kwenye animation, aina ya filamu ambayo hupendwa na watoto. Najiuliza tu wanatengeneza generation ya aina gani?
Tumekosa tamaduni hatuna tena fasihi ya kufundishia watoto na wadogo zetu. Wazazi wamepoteza kontroo ya familia. Naona vingi vioja.
 
Kwa ulimwengu wa sasa ni mambo ya ajabu kusikia au kuona haya mambo ya ushoga. Lakini fikiria aina ya filamu vijana wanazo tazama tena pamoja na wadogo zao, utakuta filamu wanaume kwa wanaume wanapigana denda au wanawake kwa wanawake wakisagana. Lakini kwasababu filamu ni kali watu bado wanatazama.
Binadamu hujifunza zaidi kwa kutazama kuliko kusoma, leo hii mambo haya ya kishoga yameingia hadi kwenye animation, aina ya filamu ambayo hupendwa na watoto. Najiuliza tu wanatengeneza generation ya aina gani?
Tumekosa tamaduni hatuna tena fasihi ya kufundishia watoto na wadogo zetu. Wazazi wamepoteza kontroo ya familia. Naona vingi vioja.
Asante, una mwono wa mbaliiiiiiiii!!!!!! Nani anaiongoza dunia na kuna agenda gani ya kuua maadili ya ubinadamu????
 
Kwa ulimwengu wa sasa ni mambo ya ajabu kusikia au kuona haya mambo ya ushoga. Lakini fikiria aina ya filamu vijana wanazo tazama tena pamoja na wadogo zao, utakuta filamu wanaume kwa wanaume wanapigana denda au wanawake kwa wanawake wakisagana. Lakini kwasababu filamu ni kali watu bado wanatazama.
Binadamu hujifunza zaidi kwa kutazama kuliko kusoma, leo hii mambo haya ya kishoga yameingia hadi kwenye animation, aina ya filamu ambayo hupendwa na watoto. Najiuliza tu wanatengeneza generation ya aina gani?
Tumekosa tamaduni hatuna tena fasihi ya kufundishia watoto na wadogo zetu. Wazazi wamepoteza kontroo ya familia. Naona vingi vioja.
Filamu za ngono: Je, taasisi ya ndoa imevamiwa?
 
Yalianza wakati wa SODOMA na GOMORA ila mwemyezi MUNGU alikasirishwa na kuunguza moto mji mzima na vyote vilivyokuwamo.

tn_large_1298128008-0-04.jpg
 
Back
Top Bottom