Fantasia
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 1,071
- 834
Mtazamo wako wa kidini mzuri unathaminiwa, sasa mapadre na mashekhe pia wanashiriki, huoni dini imefeli?????Kivipi, na ni mji wa sodoma na Gomorrah na ndo maana MUNGU aliuangamiza
Mtazamo wako wa kidini mzuri unathaminiwa, sasa mapadre na mashekhe pia wanashiriki, huoni dini imefeli?????Kivipi, na ni mji wa sodoma na Gomorrah na ndo maana MUNGU aliuangamiza
Tunapoona haya ndo tujue shetani yupo kazini halafu mambo kama haya huwa nasema kuyajadili kuyafuatilia na kusambaza kama kuyapinga ndo kuyafanyia promo mwishowe tutaona ni jambo la kawaida tu. Ila yote ni mipango ya shetaniKwa ulimwengu wa sasa ni mambo ya ajabu kusikia au kuona haya mambo ya ushoga. Lakini fikiria aina ya filamu vijana wanazo tazama tena pamoja na wadogo zao, utakuta filamu wanaume kwa wanaume wanapigana denda au wanawake kwa wanawake wakisagana. Lakini kwasababu filamu ni kali watu bado wanatazama.
Binadamu hujifunza zaidi kwa kutazama kuliko kusoma, leo hii mambo haya ya kishoga yameingia hadi kwenye animation, aina ya filamu ambayo hupendwa na watoto. Najiuliza tu wanatengeneza generation ya aina gani?
Tumekosa tamaduni hatuna tena fasihi ya kufundishia watoto na wadogo zetu. Wazazi wamepoteza kontroo ya familia. Naona vingi vioja.
Asante, lakini inakuwaje, filamu za uhamasishaji zina endelea dunia yote...hivi kwanini hazipigwimarufuku??????Tunapoona haya ndo tujue shetani yupo kazini halafu mambo kama haya huwa nasema kuyajadili kuyafuatilia na kusambaza kama kuyapinga ndo kuyafanyia promo mwishowe tutaona ni jambo la kawaida tu. Ila yote ni mipango ya shetani
Shetani ni nan?Tunapoona haya ndo tujue shetani yupo kazini halafu mambo kama haya huwa nasema kuyajadili kuyafuatilia na kusambaza kama kuyapinga ndo kuyafanyia promo mwishowe tutaona ni jambo la kawaida tu. Ila yote ni mipango ya shetani
Si dini, tatizo wengi tunahukumu dini kama ndivyo basi wafuasi wote ni shit. Na kumbuka shetani haji kwa ajili ya wachafu anakuja kwa haohao wacha MUNGU na kuwapandikiza majaribu na ndo maana Biblia inatuambia shika sana ulicho nacho. Mi ni mkristo safi lakini sisaport huo upuuziMtazamo wako wa kidini mzuri unathaminiwa, sasa mapadre na mashekhe pia wanashiriki, huoni dini imefeli?????
Shetani ni kisingizio cha kuharalisha dhambi.Shetani ni nan?
Si dini, tatizo wengi tunahukumu dini kama ndivyo basi wafuasi wote ni shit. Na kumbuka shetani haji kwa ajili ya wachafu anakuja kwa haohao wacha MUNGU na kuwapandikiza majaribu na ndo maana Biblia inatuambia shika sana ulicho nacho. Mi ni mkristo safi lakini sisaport huo upuuziMtazamo wako wa kidini mzuri unathaminiwa, sasa mapadre na mashekhe pia wanashiriki, huoni dini imefeli?????
ITALY (which includes vatican) haina ushoga na haijahalalisha ushoga. nimeishi italy, mimi sio mkatoliki ila kwa hilo mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Ushoga umeshamiri Vatican, ulaya na Marekani tena unalindwa na Sheria. Wale MABWANA walifika huko?
Anglican ni sect ndogo sana ndani ya Ukristo, ni dhehebu dogo mno, hapa tz lipo sana Dodoma, mtwara na maeneo ya newala etc, lakini majority ya makanisa mengine hakuna lililohalalisha. na Anglican limehalalisha hivyo kwasababu ndio dhehebu lililozaliwa Uingereza. Anglican ni kanisa la waingereza, hivyo uingereza kama nchi yao wameruhusu na dini yao pia imeshaathirika. ila ukweli ni kwamba waarabu na watu wa pwani ndio wanaongoza kwa uchafu huo kwa maeneo haya ya kwetu. bara huku ukitaja ushoga au hata kufanya mapenzi kinyume na maumbile watu wanashangaa,wakati Tanga na zenji hadi watoto wadogo tu wa kuanzia 15 wanaelewa.Waarabu ndio walisababisha Anglican kufungisha ndoa za mashoga Kanisani?
Tatizo ni kuwa na woga na hofu ya mungu. Mi nawakuli sana waislamu kweny e maswala mengine hawanaga mzaha hao mashoga mtaani ni kuwatenga tu kungekuwa na uwezekano fimbo tu kila unapomuona. Lingine kubwa ni kuacha kupromote haya mambo kwa kufanya discussion kusambaza video au picha zinazowahusuJe tunakabiliana vipi na tatizo sasa?????
Ndio tusaidiane ndugu????? Kwa mfano kwanini tusikamate ili jamaaa tuliuwe yaishe dunia iwe salama??????Shetani ni nan?
zenji watu wanapigwa fimbo wakiwa hawajafunga wanakula mchana mwezi mtukufu. lakini kupeleleza mashoga na kuwafungia kwenye gereza hawaoni muhimu kwani?Tatizo ni kuwa na woga na hofu ya mungu. Mi nawakuli sana waislamu kweny e maswala mengine hawanaga mzaha hao mashoga mtaani ni kuwatenga tu kungekuwa na uwezekano fimbo tu kila unapomuona. Lingine kubwa ni kuacha kupromote haya mambo kwa kufanya discussion kusambaza video au picha zinazowahusu
Ndio ndugu, sababu, jamii inaoza polepole, donda hili ndugulikija fumuka tumekwishaTatizo ni kuwa na woga na hofu ya mungu. Mi nawakuli sana waislamu kweny e maswala mengine hawanaga mzaha hao mashoga mtaani ni kuwatenga tu kungekuwa na uwezekano fimbo tu kila unapomuona. Lingine kubwa ni kuacha kupromote haya mambo kwa kufanya discussion kusambaza video au picha zinazowahusu
Hili swali la kitoto huna dini mpaka uulize hivyo kama mpagani sina jibu la kukusaidia sorryShetani ni nan?
Na mashekhe wanafanya na mapadre, dini tuweke pembeni zilishafelizenji watu wanapigwa fimbo wakiwa hawajafunga wanakula mchana mwezi mtukufu. lakini kupeleleza mashoga na kuwafungia kwenye gereza hawaoni muhimu kwani?
Asante kwa kuwa mkweli, huna jibu..na ni kweli mi mpagani, kwa kuwa mashekhe na mapadre wanafanya, naona turudie upagani tu ww unaonaje?????Hili swali la kitoto huna dini mpaka uulize hivyo kama mpagani sina jibu la kukusaidia sorry
Roman Catholic hawajahalalisha, lakini wamebobea mapadre katika mchezo huuAnglican ni sect ndogo sana ndani ya Ukristo, ni dhehebu dogo mno, hapa tz lipo sana Dodoma, mtwara na maeneo ya newala etc, lakini majority ya makanisa mengine hakuna lililohalalisha. na Anglican limehalalisha hivyo kwasababu ndio dhehebu lililozaliwa Uingereza. Anglican ni kanisa la waingereza, hivyo uingereza kama nchi yao wameruhusu na dini yao pia imeshaathirika. ila ukweli ni kwamba waarabu na watu wa pwani ndio wanaongoza kwa uchafu huo kwa maeneo haya ya kwetu. bara huku ukitaja ushoga au hata kufanya mapenzi kinyume na maumbile watu wanashangaa,wakati Tanga na zenji hadi watoto wadogo tu wa kuanzia 15 wanaelewa.