Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Nenda Zanzibar unguja-jang'ombe utapata majawabu....wanzanzibar wengi wenye uwezo watoto wao wasoma bara ukipotea stepu tu anakuwa shoga..
Lakini wao ni mabingwa wa kuwanyooshea vidole akina Trump
Lkn ss sote ni wadhambi tuombe toba,toba hata kwa makosa ya wengine
 
Sasa Kama Saudia mashoga wengi lakin hawajapitisha Sheria ya kuruhusu Ushoga , Ulaya na makanisani wapo wachache tayari washaruhusu Ushoga jee wakiwa wengi Kama huko si mtaambiwa msipikuwa mashoga hamtaona ufalme wa Milele?
Kihusikacho ni tendo ama ni ruhusa,
Walikoruhusu wapo wachache,wanakokataza(Saudi)wapo wengi,hivi wangeruhusu ingekuaje,jenga picha,
Wanakatazwa lkn ni wengi,
Wasingekatazwa ingekuaje
 
Jamani
Hivi hatuwezi changia hili na mambo mengine bila kuhusianisha na imani zetu?
 
Kwi kwi kwi.

Kweli ukiwa kafiri akili za kufikiri zinakua kama funza.

Hivi nani asiyejua swala la ushoga limetamalaki ulaya yote wanaume kwa wanaume wanaoana vivo hivyo kwa wanawake pia
View attachment 680433
View attachment 680438
Tena kibaya zaidi hizo ndoa mpaka kanisani zinafungishwa mpaka sheria za kuwalinda hao manyang'au zipo.

Teeh teeh teeh.
Vipi chanzo chake,lilianzia wapi,
Wagunduzi wa kudujuana ni akina nani
 
View attachment 680444
Ma mdogo arabuni sio kama kwenu nyie ulaya

Kule ukigundulika wewe ni shoga amma unajiusisha na vitendo hivyo adhabu yake ni kifo tu.

Hawachekei ufirauni kama wazungu mpaka sheria za kuwalinda wamewaekea na mpaka makanisani hizo ndoa zinafungishwa tena na biblia wa.nashikishwa.
Pamoja na kuwaua wapo kibao zaidi ya wasikouawa,wangekewa hawauawi je!
Hata hao wanaokomalia sheria hyo wanadukuana kwa siri
 
Teeh teeh teeh.

Dada huwezi kuondoa ukweli kwamba wazungu wanapenda mno tena sana huu mchezo.

Lakini kwa vile ni makafiri wenzako wala huoni.

Ebu cheki hapa chini hawa mashoga
View attachment 680523
Hapo ni kanisani na tazama kwenye back ground ya hiyo picha utaona kisanamu cha bikra maria.

Yaani nyie makafiri mpaka makanisani mnalawitiana achilia mbali kufungishana ndoa.
Hapa kuna waasisi,ila wanafanya sana gizani

Na kuna waletewa ila wameamua kutojificha ili wafaidi,
Watendea gizani na waasisi ni hatari sana maana wanazipiga kisawasawa wakizipata,
 
Na msalaba wa Yesu
Mi ndio sababu nilisharudiaga zamani Imani ya mababu....
Sanamu hata mganga anaweza iweka,hata mtu anaejianzishia kikanisa anaweza weka,zipo hadi rozali nyingi za kubumba,
Kanisa katoliki vitu vyake wakatoliki tunavijua na ukiniletea ntakuambia hii yetu hii siyo,
Siyo kila sanamu ama rosali ni ya kikatoliki
 
SI nashangaa tukwagaambila hizo dini zao feki turudi mzimuni kwa mababu, bado wanabisha, wanne star, twende tukatambike mizimu....
Mizimu hapana,tuchukue mema yaliyopi huko mabaya tusiyaige,
Waarabu na wazungu haya wafanyayo si maagizo ya dini,vitabu vyote vinakataza,haya ni matendo ya wapotofu,
 
Mchezo huu,asili yake ni wazungu,nenda nchi yoyote ya ulaya. Ukapige vita ushoga,kama hukuishia jela.Na nenda nchi za kiarabu katsngaze ushoga,kama hukuishia kaburini,bahati yako.
Acha kuongea usilolijua
Waulize watu wakuineshe asilia ni akina nani
 
Back
Top Bottom