Baraka21
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 1,262
- 3,194
Habari za ULAYA mkuu.Na huku ulaya Nani katudanganya. Acha Siasa. Hakuna chanjo ya lazima hasa kwa hizi za corona. Wengi tu hawataki. So sio huko kwenu tu.
Habari za ULAYA mkuu.Na huku ulaya Nani katudanganya. Acha Siasa. Hakuna chanjo ya lazima hasa kwa hizi za corona. Wengi tu hawataki. So sio huko kwenu tu.
Ujinga wa chanjo za korona, Unachanjwa halafu bado unakuwa na hifu ya kuambukizwa, Tofauti kabisa na chanjo zingineKama ni nia ni majadiliano ya hoja, basi shika kitu kimoja kimoja. Siyo kuruka ruka kama bisi kikaangoni.
Chagua tuanzie ipi?
Kuna magonjwa sugu ya miaka nenda rudi hayajaenda likizo ya kuua watu, nina babu zangu watano ktk mlela clan wamezaliwa mwaka 1928-1932 hawana habari na mibarakoa na wanapeta hadi Leo tangu ujio wa corona.
Acha uongo mkuu! Rwanda na Uganda kote huko hakuna anayelazimishwa kuchanja isipokuwa vurnerable groups kama wafanyakazi sekta ya afya.Uganda na Rwanda hapana kuendekeza ujinga. Huko wala si ukuda bali utachezea kichapo!
Kumbuka ujinga si tusi. Ni suala la kutokuelewa tu. Ujinga dawa yake ni elimu dunia tu mkuu.
Huku kwetu tutabembelezana kwanza, ila baadaye kutakuwa na vikwazo hapa na pale. Mdogo mdogo tutafika tu.
Hiyo ndiyo sayansi ya chanjo.
Kwani wao ndio waliambia muwataje humu? kihere here cha kuwataja humu ndio mnachowajibika nacho, mnataja taja watu wakati Data hamna bureeeeee kabisa misukule hiiKama unataka data kwa nini usimpigie simu Museveni au Kagame?
Ujinga wa chanjo za korona, Unachanjwa halafu bado unakuwa na hifu ya kuambukizwa, Tofauti kabisa na chanjo zingine
Ni upotevu wa fedha za umma kuagiza chanjo hizi
Nenda kaungane na wakina Joti kuchekesha, Mbowe hawezi kutufanya watu timamu misukule, najua kuna misukule yake kila akibadili Gia angani nayo inabadiliBaba zima unaogopa kuchomwa sindano.Joga sana weye.
Boooo! Boooo! Boooo!Kwa hiyo mbowe katumwa na upande wa pili kwa sababu upande wa pili unaona watu hawataki kuchanjwa? Anatumika kama kisemeo tu na upande wa pili. Mbowe ni mtu makini haya hayatoko moyoni bali yanatoka upande wa pili
Kama ukichanjwa huambukizwi, hofu yako ni ipi kwa wasiochanjwa?
Tatizo sio chanjo tatizo ni hao waliotengeneza hiki kirusi kwa makusudi kabisa je wanalengo lipi na wanadamu???
Kama suala ni kifo mbona ni jambo la muda tu na kila mmoja atakionja!!
Ni kweli ugonjwa upo na unaua bahati nzuri ni kwamba kila kitu kimeshawekwa wazi juu ya madhumuni na lengo la hili gonjwa pamoja na chanjo yake
Hivyo kuanza kulazimishana chanjo ni upuuzi na kila mtu aishi maisha yake ilimradi hauvunji sheria na kanuni za nchi
Labda unacheka kwa sababu unajua ila unajitoa ufahamu kwa maana kama wewe ni mtu wa kusoma nakala mbalimbali mtandaoni na nje ya mtandao unafahamu fika kwamba huu ni mchezo wa hatari ambao unachezwa na maisha ya watu ndio dhamana yake kuuMkuu hii ni hatua sana kwamba unatambua:
"Ni kweli ugonjwa upo na unaua."
Ila sasa, kwamba?
".. bahati nzuri ni kwamba kila kitu kimeshawekwa wazi juu ya madhumuni na lengo la hili gonjwa pamoja na chanjo yake .."
Hahahaa haa 😂😂!
Nani ameyaweka wazi madhumuni hayo na ni yapi ikiwamo lengo la chanjo yake?
Mwongozo wako tafadhali.
😂😂😂😂😂😂
NB: Nimelazimika kucheka muda wote nikiandika haya kama mazuri vile.
Hiiiiii bagosha!
Hata hivyo nisiache kumalizia:
View attachment 1860722
Labda unacheka kwa sababu unajua ila unajitoa ufahamu kwa maana kama wewe ni mtu wa kusoma nakala mbalimbali mtandaoni na nje ya mtandao unafahamu fika kwamba huu ni mchezo wa hatari ambao unachezwa na maisha ya watu ndio dhamana yake kuu
Soma mkuu
Mimi sio mtu wa kusafiri.....Kama safari zako za kigoma,njombe madaba chuna tu,
ila ukiwa unakwea pipa hiyo ni lazima sio ombi huko nje hawataki uwapelekee maradhi.
Walioutengeneza lengo ni kuua wanadamu wanzao na wanadamu wenyewe hawana hofu ya kufa wameamua liwalo na liwe sasa nani anateseka na maisha ya mwenzake???Mkuu, ugonjwa huu upo na unauwa. Ulitokea wapi na kwa nini, hayo yanaweza kuwa muhimu baadaye lakini kwanza tukiwa salama.
Ni busara kumkamata na kumdhibiti ng'ombe asile mazao ya watu, badala ya kuanza kumtafuta kwanza ambaye hakumfunga vyema kamba kwenye mti.
Au nasema uongo ndugu yangu?
sina swali tena mkuuMbona hili Nimeweka wazi mkuu?
View attachment 1860553
Pia hapa:
View attachment 1860556
Bado una swali jingine mkuu?
Kama umekaa na shangazi zako hapo kibarazani na kuona nawaletea vichekesho,basi mnatakiwa mpimwe akili.Nenda kaungane na wakina Joti kuchekesha, Mbowe hawezi kutufanya watu timamu misukule, najua kuna misukule yake kila akibadili Gia angani nayo inabadili
Kulazimisha mtu kuchoma chanjo Sio lazima mtu ashikwe KWA nguvu, bali ni kuweka taratibu za kumfanya mtu achomwe chanjo,Kama mwuungwana tokea pande za Pwani niliyeukataa ukanjanja katika nyanja zote, nina lazimika kutia neno juu ya maneno ya hekima yake Mwamba Aboubakar Laigwanan Mbowe (Mola amjalie maisha marefu).
Uhalisia kuhusiana na chanjo yoyote ni huu hapa:
"Chanjo ina maana kama tu idadi kubwa na ya kutosha katika jamii inakuwa imeipokea. Vinginevyo inakuwa haina maana."
Kiuhalisia chanjo ni kwa manufaa ya wanayoipokea. Serikali zina wajibu wa kuona watu wake wananufaika chanjo husika.
Kuweza kuwapata idadi kubwa kadri iwezekanavyo mbinu mbali mbali hutumika zikiwamo kutoa elimu, ushawishi na hata kutumia nguvu ikibidi.
Kwa wanaume wa shoka, pande za Rwanda na Uganda, huko hakuna cha lele mama au mswalia mtume. Huko kuchanjwa ni lazima na bakora kumhusu mtu anayeleta ujuaji wala si issue.
Kwingine uthibitisho wa chanjo huhitajika kabla ya kupata huduma kama vile usajili, usafiri, ruhusa nk kama kishawishi. Chanjo inakuwa hiari, lakini ni lazima kabla ya huduma husika.
Kwa jamii zilizostaarabika vilivyo na zenye kujitambua, huko chanjo ni vitu vinavyoeleweka.
Rejelea hali halisi ya kwetu ambapo tokea Apr 2020 hazipo takwimu mpya za Corona. Yaani tokea hapo hakuna mgonjwa wala aliyekufa kwa Corona isipokuwa kaka yake Mbowe.
Katika kipindi hicho pia watu wameaminishwa kuwa huu ugonjwa haupo. Bali Corona ni vita vya kiuchumi na chanjo hizi ni sehemu tu katika kuwaangamiza wao.
Hiiiiii bagosha!
Waliowaaminisha hivyo ni Rais wa nchi akishirikiana na wizara yenye dhamana na afya za watu. Katika walioaminishwa hivyo, wengi wao ni "the ignorant mass" vijijini; wakiwamo sungu sungu, wapiga debe, machinga, vibaka vibaka na wa namna hiyo.
Una ibadili vipi mitizamo ya watu kama hao, huku watu wakiendelea kufa?
Ikumbukwe kuwa hadi sasa serikali yetu haitoi takwimu zozote na hayupo ajuaye hali ni njema au mbaya kiasi gani.
Kwa hakika mwenye kujua faida za chanjo na kuthamimi maisha ya watu hatachelea kutumia nguvu kuwataka watu kuchanjwa ambayo aghalabu ni kwa faida yao.
Ama kwa hakika itakuwa jambo la kushangaza kwa serikali yoyote, kama itakaa kimya iache watu kufa iwapo matumizi ya nguvu tu yangali nusuru maisha dhidi ya ujinga wao.
Viva Museveni na viva Kagame kwa kuyajali maisha ya watu wenu vilivyo kiasi cha kutumia nguvu stahiki inapobidi katika kuwanusuru.
Kwa hakika waja nyie mnayo thwawabu kubwa huko mbinguni, Inshallah!
Naomba unipe maana halis kwann mtu anachomwa chanjo?...tuanzie hapo...na chanzo maana yake nin...
Mfano mim nishaumwa korona.wadudu walishaingia mwilin mwangu...mwili ukatengeneza kinga ukapambana nikapona...maana yake nina kinga tayar..
Chanjo nijuavyo mim ni kwamba unaingiziwa wadudu mfu ili mwilk wako utambue na kutengeneza kinga dhid ya hao wadudu...
Sasa kwasisi ambao tushaumwa korona tukapona..mnatulazimishaje tudungwe chanjo?
Kwani si ukachanje wewe ? Ukichanjwa hutaugua wewe sasa pilipili usizozila zakuwashia mini? Anayetaka akachanje usilazimishe mtu kwani kuna ajrnda gani nyuma mpaka iwe lazima!?Kuna watu wanaogopa kuchomwa sindano. Mijoga kweli.😝😝😝😝😝
Kulazimisha mtu kuchoma chanjo Sio lazima mtu ashikwe KWA nguvu, bali ni kuweka taratibu za kumfanya mtu achomwe chanjo,
Kauli ya Mh mbowe ipo sawa, utakichoma chanjo baki wilayani kwako, au mkoani kwako, hatuwezi chukulia Mambo mazito Kama CORONA Kimzaa zaaa