Chanjo ni Lazima: Hoja ya Mbowe ina Mashiko

Chanjo ni Lazima: Hoja ya Mbowe ina Mashiko

Mimi ni Mzanaki zungumza kizanaki nikuelewe. Usiruke ruke kama umepakwa pili pili huko chuma.

View attachment 1860529

Mzanaki? Damu hii?

IMG_20210707_084839_278.jpg


Aah wapi!

Hahaahaaa haa 😂😂😂😂 "He! Wewe ni Mkara? Na unataka kugombea urais?"

Usikonde mkuu hata kulikimbia kabila lako. Julius alionya tukupe tu urais hata kama wewe ni Mkara. Utupie tu ukara wako.

Hiiiiii bagosha!
 
Mzanaki? Damu hii?

View attachment 1860534

Hahaahaaa haa 😂😂😂😂 "He! Wewe ni Mkara? Na unataka kugombea urais?"

Usikonde mkuu hata kulikimbia kabila lako. Julius alionya tukupe tu urais hata kama wewe ni Mkara. Huna haja ya kulikimbia kabila lako.

Hiiiiii bagosha!
Endelea kumpambania mwambaaa makengeza macho ku mchuzi Mbowe. Huna akili

images (2).jpeg
 
Mbowe aache upumbavu, ni ujinga kama nchi kuanza kuangaika na vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.

Kuna mwamba mmoja kapumzika kule Chatto alisema vizuri kuliko wewe.

Ungeenda kumwuliza akueleze leo anasema je?
 
Mawazo ya hovyo sana kusema chanjo iwe ya lazima katika hili mbowe amefail kabisa chanjwa wewe na familia yako tu ya watu wengine yaache waamue wenyewe wala halihitaji kampeni

Ni hiari mkuu kuwa na amani:

IMG_20210720_094317_447.jpg
 
Kwana mwamba mmoja kapumzika kule Chatto alisema vizuri kuliko wewe.

Ungeenda kumwuliza akueleze leo anasema je?
Ni upumbavu pia kuamini eti yule mwendakuzimu alikufa Sababu ya hivi vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.
 
Ni upumbavu pia kuamini eti yule mwendakuzimu alikufa Sababu ya hivi vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku.

Kwamba?

😂😂😂😂😂

Ndiyo maana Loliondo babu ana kikombe kutibu na kuzuia Corona.

Hiiiiii bagosha!
 
Mkuu achana naye huyo. Hana lolote.

Si unasikia babu wa Loliondo ana kikombe cha kutibu na kuzuia Corona?

Huku ndiko tuliko sisi ambako Museveni na bwana Kagame walishatoka na ilipobidi ilikuwa ni kwa bakora.
Sawa mwambie makengeneza mbowe akupeleke kwa kagame na museven maana wanafanana.

images (2).jpeg


images (1).jpeg


images (2).jpeg


images (1).jpeg
 
Kama safari zako za kigoma,njombe madaba chuna tu,
ila ukiwa unakwea pipa hiyo ni lazima sio ombi huko nje hawataki uwapelekee maradhi.

Na bado. Wigo huwa unaenda ukitanuliwa.
 
Nakumbuka mwanzo wa NIDA watu walikataa wakidai ni mambo ya uFirimasoni lakini serikali ilipata jinsi ya kuwabana mpaka kila mtu akakimbilia kujisajili. Na hili la corona litakua hivo hivo serikali inasema ni hiyari lakini najua kuna jinsi itawabana watu mpaka kila mtu atakimbilia chanjo
 
Back
Top Bottom