tehe tehe tehe, magamba bwana
Na wewe siasa umeanza lini bana?Is this really you? Au you are trying to hack our minds!????
Mi mwenyewe sijui kirefu chake!Hivi kirefu cha LOL ni nini sweetlady? Huwa nakutana nacho sana kwenye sms!
Kitunguu swaumu ni dawa nzuri kwa magonjwa mengi tu, wahenga wamekuwa wakitumia kitunguu swaumu kujitibu toka enzi na enzi.
Kitunguu swaumu kikiliwa kibichi huongeza nguvu za kiume na humpatia mlaji hamu ya kufanya tendo la ndoa.
Kitunguu swaumu, tangawizi na kiasi kidogo cha papai bichi vikiwekwa katika nyama nyekundu, nyama hiyo huiva vizuri na bakteria waliomo ndani yake hufa bila shida.
Na wewe siasa umeanza lini bana?
Naomba uwe mjukuu wangu. Naona ushaanza kuniita babu kabla hatujaombana.jamani Babu, kwanza Shikamoo,
Halafu kwani nimetaja hapo Gamba au Gwanda?
BTW: Bado niko kwa tuition ya Lugha
???!!!Wakuu naomba mchangie hii thread ili nami nijisikie raha na amani ya moyo. Changia ili niwe na uhakika kama hii habari ni kweli au uzushi mtupu. Pia naomba unipe ushauri wako juu ya hili jambo.
Naomba uwe mjukuu wangu. Naona ushaanza kuniita babu kabla hatujaombana.
Orayt.......subiri watu wakilog out ntakupa taratibu. au kama vipi twenzetu PM.heheheeeee, mh...! kumbe huwa kuna kuomba?
Mie nimefuata taratibu za wenyeji nliowakuta
Nkajua BABU ni mwenye wajukuu,
Kumbe wapo wa jukuu wa hiari pia?
Asante kwa kunijuza, tuanze basi hizo taratibu za kuombana, LOL
ulikuwa unamaanisha hamja*ombana??????? Eeeeeehhhhhhh
Orayt.......subiri watu wakilog out ntakupa taratibu. au kama vipi twenzetu PM.