Changia thread

Changia thread

matumizi katika nchimbalimbali:kitunguu ni kiambatanisho muhimu kidishi kimaendeleo katika sehemu nyingi ulimwenguni.zamani egpta iliheshimiwa kuwa ya hadhi ya kimungu.maandalizi ya kitunguu saumu kimadawa:kitunguu saumu na asali. Jaza chupa ya glasi na vitunguu saumu vilivyomenywa nakukatwa katwa polepole mwaga katika asali ya kwamba inajaza nyufa katikati ya fundo yakitunguu. Weka glasi kwenye sehemu ya joto yenye c 20oc. Katika siku mbili hadi wiki nne,asali itanyonya juisi ya kitunguu saumu na kitunguu hicho kitachechemea na kutoingizamwanga usichuje. Tumia katika muda wa miezi 3.kitunguu saumu dawa ya kikohoziponda kijiko cha chai cha kitunguu saumu katika kipimo hicho hicho cha sukari au asali.tumia mara moja k.mf. Kwa kikohozi.kitunguu saumu mafuta. Weka g 200 za vitunguu vilivyokobolewa saga kitunguu saumu nakuweka kwenye chombo cha glasi na ongeza mafuta ya kutosha (au vizuri mafuta ya chakula)funga. Funga jagi kwa kubana vizuri, na weka ikae kwenye sehemu yenye joto kama c 20kwa siku tatu. Tikisa mara chache kila siku. Halafu weka kwenye sehemu ya baridi, bilakuchuja. Tumia katika muda wa mwezi mmoja.kitunguu saumu „tinkcha". Loweka g 200 za vitunguu vilivyomenywa na kukatwakatwakatika lita moja ya brandi au alikoholi 40-50%, kwa siku 14 kwenye c 20° katika chupayenye kufungwa vizuri bila kupitisha hewa. Tikisa chupa hiyo mara nyingi kwa siku. Chujavipande vya kitunguu saumu. Tinkcha inakaa muda wa mwaka.mapendekezo ya matumizikula kitunguu saumu kibichi- hii ni bora.tumia katika kupika.kula vitunguu saumu vingi kuzuia magonjwa. Kitunguu saumu ni safi sana kwa mfano kunausemi kwamba, chakula chako kiwe ndiyo dawa yako, na dawa yako chakula chako. Hii nikweli tu, hata hivyo, kwa kitunguu saumu kibichi, kama ilivyo vitu vingi vyenye nguvuvinaangamizwa katika kupikwa. Vitunguu saumu vibichi vinatia nguvu katika mfumo wakinga ya maradhi. Matumizi kawaida ya vitunguu saumu yameonyeshwa katika kupunguzamadhara ya magonjwa ya moyo, kiharusi, kansa, msukumo wa damu na homa ya mafuamakali (flu). Tunashauri kwa nguvu ya kuwa wanaoteseka kwa ukimwi (aids) wawekekitunguu saumu katika chakula chao cha kila siku, kupunguza nguvu ya magonjwa mengine.kwa sababu inafanya mara mbili, kwa matumizi ya nje na kwa ndani kama dawa ya kuuawadudu, vitunguu saumu ni masaada wa kutibu magonjwa yote ya kuambukiza; toifodi,minyoo, bilhazia, malaria, damu yenye maambukizo na sumu n.k. Zaidi yake vitunguu saumuvinaimarisha kumbukumbu, hupunguza shindikizo la damu na homa, na vinafanya kazikupinga ugumu wa kuta za ateri (hardening of arteries). Vitunguu saumu pia vinapinga virusina dhidi ya kinyume cha mambo ya fangasi.majipu au uvimbe na chunjua.saga vitunguu saumu vibichi na funga vilivyopondwa kwenye sehemu ya jipu, uvimbe auchunjua mara mbili kwa siku na gandamiza. Anza matibabu haya mapema iwezekanavyo.2. Amiba.katakata vitunguu saumu sawasawa vipande vidogo na chukua kijiko kikubwa 1 pamoja nachai mara tatu kwa siku (usitafune, kusaidia kupinga kutoa harufu mdomoni). Endelea namatibabu haya kwa siku 5. I (h-m hirt) aliponywa mwenyewe toka amiba kuharishadamu kwa tiba hii.3. Malaria.katakata vitunguu saumu sawasawa. Meza kijiko kimoja cha vitunguu hivi mara tatu kwasiku na kunywa lita 2 za limao glasi ya chai kwa siku. Endelea na tiba hii kwa siku 5.angalia pia ukurasa wa 8 kwa ajili ya malaria.4. Kisukari, shindikizo la damu, kinga ya ugumu wa kuta za arteri (hardening of thearteries).kula vitunguu saumu kwa wingi, vitunguu saumu na vitunguu vinapunguza sukari katikadamu na kusawazisha damu ya cholesteroli, na shindikizo la damu. Badala yake chukuamatone 20 ya vitunguu tinkcha mara 3 kwa siku, basi hii ni pungufu ifuatayo:5. Kikohozi, homa, sinusitis na kuvimba koo.a) kula klovu ya vitunguu saumu mara tatu kwa siku.b) chukua kijiko cha chai cha kitunguu saumu asali kila masaa machache.c) watoto wanaweza kutumia kijiko cha chai cha kitunguu saumumchanganyiko kila baada ya masaa machache.d) chukua kijiko cha chai cha kitunguu saumu mafuta mara 6 kwa siku.6. Kandika.chukua kijiko cha chai cha kitunguu saumu au kitunguu saumu yenye asali, kila masaamachache. Weka mdomoni kwa muda mrefu iwezekanavyo.7. Fangasi inayoambukiza pamoja na ugonjwa wa ukungu kwenye vidole vya miguu.funga sehemu zilizoathirika kwa juisi ya vitunguu saumu vibichi vilivyopondwa aumafuta.8. Homa ya matumbo na maambukizo mengine.kama itatokea homa ya matumbo, bacillary, kuharisha damu, kifua kikuu, kipindupindu,trypanosomiasis (ugonjwa wa kusinzia): Siku zote ongeza kitunguu saumu kwa tiba yakawaida.9. Kinga ya mishipa ya damu.kitunguu saumu siku zote kinafanya damu kuwa laini na kukinga kutengeneza damukuganda ambayo inasababisha shida ya thrombosis. Hii ni muhimu kwa wagonjwawanaolala kitandani kwa muda mrefu.10. Kuota meno utotoni.futa ufizi kwa fundo la kitunguu saumu.madhara yake:kitunguu saumu kinaweza kukera ngozi hasa baada ya kutumia kwa muda mrefu. Epukakuhusisha kwenye macho.
thethethee!! Jamani mnaifanya wekend yangu ianze vizurii!!
 
Jamani naomba mjikite kwenye mada eeeh.
 
besdei.JPG
.......................
 
Back
Top Bottom