Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,357
- 62,604
Chukulia umri wako ni zaidi ya miaka 50, na tayari upo kwenye ndoa na mna watoto.
Ikitokea mwenzi wako akachepuka au akakuwekea mazingira ya kutaka kuvunja ndoa, kwako itakuwa ni afya au ni tatizo?
Na je, utakubali ndoa yako ivunjike na mtengane?
Tupe sababu.
Ikitokea mwenzi wako akachepuka au akakuwekea mazingira ya kutaka kuvunja ndoa, kwako itakuwa ni afya au ni tatizo?
Na je, utakubali ndoa yako ivunjike na mtengane?
Tupe sababu.