Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 36,298
- 71,979
Yamekua hayo Equation x
nawew chepuka acha ubwegeUkihisi mwenzio anachepuka, wewe utachukua hatua zipi?
Kuna umri ukifika, busara inatakiwa sana kuliko hisia, mfano una miaka 60 na watoto, alafu una vijumba viwili, biashara unayotegemea ni duka la vyakula, hapo ukitalakiana lazima urudi nyuma kwa spidi.Yamekua hayo Equation x
Dawa ya moto ni motonawew chepuka acha ubwege
Ni bora uchepuke kiaina na usivunje ndoaNdoa inaweza vunjika muda wowote ule na ukwel ni kwamba si afya kulazimisha mtu abaki ambayr tayari ameshaona hahitaji kuendelea na wewe katika uhusiano, huwa ni hatari.
ILA USHAURI WANGU NI HUU. KAMA UNA 50 AMD ABOVE, KWAKWELI JITAHIDI KADIRI UWEZAVYO USIVUNJE NDOA. JITAHIDI JITAHID SANA.
post-divorce life is not for the weak. Tunaweza kuja kukuzika.
Huu ni ushauri kwa wanaume
yes haina kurembaDawa ya moto ni moto
Kama na hatarisha usalama wako unaivunja TU!Wala usijiulize mara mbili!Chukulia umri wako ni zaidi ya miaka 50, na tayari upo kwenye ndoa na mna watoto.
Ikitokea mwenzi wako akachepuka au akakuwekea mazingira ya kutaka kuvunja ndoa, kwako itakuwa ni afya au ni tatizo?
Na je, utakubali ndoa yako ivunjike na mtengane?
Tupe sababu.
Mali za sisi wanaume ni afya TU plus kipato cha kujikim mahitaji!!hizo nyingine ni Mali za kampuni iitwayo familia!!Vipi kuhusu mgawanyo wa mali?
Kumetokea nini tena huku mjomba! Kama ni kuhusu masuala ya ndoa, haya mambo yanasumbua wanandoa wengi kwenye hii dunia ya utandawazi. Ni kumkabidhi Mwenyezi Mungu tu kuwa mlinzi na msimamizi.Ngoja nimuite mzee Tate Mkuu