Chukulia umri wako ni zaidi ya miaka 50, na tayari upo kwenye ndoa na mna watoto.
Ikitokea mwenzi wako akachepuka au akakuwekea mazingira ya kutaka kuvunja ndoa, kwako itakuwa ni afya au ni tatizo?
Na je, utakubali ndoa yako ivunjike na mtengane?
Tupe sababu.
Habari za Pasaka aisee?
Mwenzenu nipo sitting bado natoa macho tu hapa sielewi nikalale au niendelee kuzuga kishikaji. Shemeji yenu kanipiga adhabu ya nguvu ambayo anajua vizuri lazima nitaathirika moja kwa moja.
Inshu iko hivi, nina mke na mtoto moja, nimekuwa kwenye mahusiano na mke wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.