Changamoto za ndoa

Changamoto za ndoa

Tegemezi kivipi mkuu? Fafanua!
Mbona watu wengi tuu wanatarikiana uzeeni na maisha yanaendelea!
Kuwa mzee haina maana uvumilie ndoa inayokuumiza mkuu.
Utakayempata uzeeni, huyo anakuja moja kwa moja kuchuma na si mapenzi, kumbuka pia uzeeni kiuchumi hakuna uzalishaji mwili, zaidi ya kutumia ulicho kikusanya ujanani.
 
Chukulia umri wako ni zaidi ya miaka 50, na tayari upo kwenye ndoa na mna watoto.

Ikitokea mwenzi wako akachepuka au akakuwekea mazingira ya kutaka kuvunja ndoa, kwako itakuwa ni afya au ni tatizo?

Na je, utakubali ndoa yako ivunjike na mtengane?

Tupe sababu.​
FB_IMG_1788276570111.jpg
 
Back
Top Bottom