Utakayempata uzeeni, huyo anakuja moja kwa moja kuchuma na si mapenzi, kumbuka pia uzeeni kiuchumi hakuna uzalishaji mwili, zaidi ya kutumia ulicho kikusanya ujanani.
Sio lazima uoe mkuu, wazee wengi (wake kwa waume), wanacheki walioachika wenzao, wanasogeza maisha mbele. Ninachokataa mimi ni kwamba, ndoa ishindwe kufanya kazi, mtu ukomae nayo kisa mzee. Hii ni kwa mwanaume na mwanamke mkuu. 😊