Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Utulivu Wa Mwili Na Nafsi Unahitajika Sana Wakati Huo
Vinginevyo Unaamua Vibaya
 
Sinia bachela ni jina tu ila kiuhalisia hakuna mtu wa hivo.

Hawa ni wazee wa "hit and run".

Wanatia mimba watoto wa watu hlf wanasepa.

Wanakwepa majukum kwa kudai wao bado hawajaoa.
 
Kwa sisi ma-senior bachelor huwa kuna changamoto kadhaa tunapata kwenye kuchagua mtu sahihi wa kuoa.

Kama ilivyo kwa wanawake hata sisi wanaume huwa tunapewa pressure sana na wazazi , ndugu, jamaa na marafiki kuhusu kuoa. Maswali kama unaoa lini? Kwanini huoi? tunakumbana nayo sana. Tushirikishane changamoto na jinsi ya kuzikabili.

1. Kwasababu age imeenda wanawake wengi waliofikia umri wa kuolewa unawaona wadogo kiumri na kimatendo(22-26)

2. Wale ambao hawakubahatika kuolewa hadi 32-35 unawaona wazee sana ingawa wewe ni mzee kuliko wao! (mwanaume hazeeki)

3. Kama uko kama mimi na misimamo ya kutotaka kuoa mwanamke aliezaa utapata tabu sana maana wengi wenye age ya kutulia (28-31) wameshazaa na watu wengine.

4.
5.
6.

Vijana nawashauri kama mnataka kuoa msichelewe sana.
Unatakiwa uchelewe ili ujijenge kiuchumi+carrier na kiakili ...mixer ule bata/ujana sana uwagonge sana mpaka ukinai ndo uoe, habari za umetoka chuo tu miaka 2/3 mbele unaoa ni ufala


Yaan umeoa unaanza kuwaza sijui ukachukue masters /PhD sijui ufungue biashara sijui ununue gari/nyumba ....mara unatamani uende club au unatamani kutoka na pisi Kali,hivyo vitu vyooote inabidi uvifanye kabla hujaoa ...ukishaoa unakaa na binti wa watu mnajenga familia
 
Kwa apa mjini. Maliza ujana chukua mke ukiwa na miaka 40. Lakini Kama kijijini miaka 30 ndio mizuri
Umemaliza kila kitu,yaan mwanaume uko mjini unaoa una miaka 26 sijui 28!!!!!daaah hiyo ni ndoa ya utotoni
 
Back
Top Bottom