RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,872
- 129,869
- Thread starter
- #121
Hio age nzuri sanaKwahiyo sie wenye 32 na ambao ndo kwaaanza tumebahatika pata wa kuoa Sasa tupo too late?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio age nzuri sanaKwahiyo sie wenye 32 na ambao ndo kwaaanza tumebahatika pata wa kuoa Sasa tupo too late?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes yes, I think nitaoa nikiwa na 35 according to my strategies na mtu nilompata mwaka janaKuoa ukiwa 30-35 ni nzuri kwasababu ushakomaa na huna mambo mengi
All the bestYes yes, I think nitaoa nikiwa na 35 according to my strategies na mtu nilompata mwaka jana
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni bond kati ya mama na Baba wa mtoto. Ngumu kuvunjika
Kwahiyo sie wenye 32 na ambao ndo kwaaanza tumebahatika pata wa kuoa Sasa tupo too late?
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaa aisee ni taharuki mtaani.Wanaume sie tunapenda tuoe tukiwa tayari tumejenga, tuna gari n.k.Ndo maana tunachelewa.Hio age nzuri sana
Aaah mkuu unanitisha ujue.But mwili mzur unanibeba mkuu,me ukiniona ni kama nina 21Kwa umri wa 32 kiukweli hapo umechelewa sana kuoa.
hakuna cha bond,
mwanamke ana heshima kwa anayemuoa,
atakua mjinga kuendeleza upuuzi,
hii sio strong reason RRONDO
wewe sema hutaki kulea mtoto wa mwenzio...😀😀😀😀😀
which is understandable....
for years and years before you were born..
hii kitu ya kulea watoto sio wao, kwa wanaume ni kitu kigumu hata vizazi vilivyopita...
kwa wanasaikolojia WANAUME HUCHUKIA WATOTO SIO WAO KWA SABABU,INAPUNGUZA CHANCES ZA WAO KUPASS THEIR OWN GENES/MATING STRATEGIES.....lengo la sisi duniani ni kuproduce offsprings wanao bear/carry our genetic material,..sidhani kama nitaeleweka ila huo ndio ukweli..mtoto sio wake sio genetic material yake….
Nadhani changamoto kubwa zaidi ni kujua iwapo mwenzio anakupenda wewe ama status yako (ya kiuchumi au ajira). Upendo wa kweli kabisa kwetu sie old school haijalishi una pesa ama kazi nzuri, unaangalia vision aliyonayo mwenzio na kuona kama mtafika ndoto zenu pamoja.
All in all siri zote zina Mungu mwenyewe. Trust your guts jilipue tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah mkuu unanitisha ujue.But mwili mzur unanibeba mkuu,me ukiniona ni kama nina 21
Sent using Jamii Forums mobile app
King'asti kupata mtu anayekupenda 100% na unampenda 100% ulishafikiria ni close to imposible?? tumezaliwa tofauti,tuna upbringing tofauti….kwenye mahusiano watu wanacompromize kidogo,ukiona anabebeka au at least anakidhi vigezo vyako..unabeba tuu..LOL ku paint picture kuwa mahusiano yako perfect ukimpata mtu mkapendana ndivyo itawafanya watu waendelee kutafuta this perfect imaginary person,miaka yote..nimependa hapo chini..jilipue tu..lol
Kaka unanikatisha tamaa sn.Kwani nikaoa nikiwa na 35 na nikapata watoto 2 kuna ubaya?Maana mie nataka watoto 2 tu,japo tayar ninaye wa mapemaaaaHuko ni kujifariji tu kaka. Ila nina amini siku ukioa utajutia kwanini hukuoa mapema.
Kaka unanikatisha tamaa sn.Kwani nikaoa nikiwa na 35 na nikapata watoto 2 kuna ubaya?Maana mie nataka watoto 2 tu,japo tayar ninaye wa mapemaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Si rahisi hivo mkuu.Me nitaoa nikiwa na 35 na mchumba sahihi nimempa.So naomba uniombee! SINTOKUANGUSHA!Ukweli lazia tuelezane,na unaweza usiwapate pia hao watoto wawili.
Etiiiiii? Hajakutana na watu Wana 42 hata dalili hamna but Wana mipango ya kuoa32 kachelewa? No way
Mkuu tueleze mode of transmission tuepukane na hili balaaaa.
Ngoja nimuulize yeye kaoa na ana umri gani. Wengi waliooa wakiwa na 25-26(wanaume) hawafiki 30 ndoa zinavunjika kwasababu ya ujinga aka ujanaEtiiiiii? Hajakutana na watu Wana 42 hata dalili hamna but Wana mipango ya kuoa
Sent using Jamii Forums mobile app