Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Kwa sisi ma-senior bachelor huwa kuna changamoto kadhaa tunapata kwenye kuchagua mtu sahihi.

1. Kwasababu age imeenda wanawake wengi waliofikia umri wa kuolewa unawaona wadogo kiumri na kimatendo(22-26)

2. Wale ambao hawakubahatika kuolewa hadi 32-35 unawaona wazee sana ingawa wewe ni mzee kuliko wao! (mwanaume hazeeki)


3. Kama uko kama mimi na misimamo ya kutotaka kuoa mwanamke aliezaa utapata tabu sana maana wengi wenye age ya kutulia (28-31) wameshazaa na watu wengine.

 
Sio kweli.... chunguza mkuu
Sawa mrembo...wewe ni under 25?
Nop
Above 28
Unanifaa kabisa
Mhhhhh.... kupendana ni issue......... sijui kwa upande wangu kama unanifaa..
You never know
Mhhhhh.... interesting ehee. I dont like trial n error at this age.
That's the only way...as I said you never know
Mhhh.... patience is the key, let's wait n see....
Now you are talking.
Hayaa banaa
Vigezo na masharti kuzingatiwa. Utaweza kweli........
Nikisoma vigezo ndio nitajua,hakuna linaloshindikana.
Ha ha ha.
Mkuu RRONDO convo za hivi huwa nazipenda sana
 
Back
Top Bottom