Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Hahaaaaa kweli aisee kuna rafiki angu mmoja huniletea mashtaka kila siku yule binti ana 22 yaani visa vya ajabu ajabu mpaka najiuliza aahh hivi alilazimishwa kuolewa au nini??
Huwa wanakuwa na akili za kitoto na hawajitambui.Ndio umri wa binti kuanza mapepe kwa sababu anajiona mzuri na kweli ndio umri binti ambao huchanua kama ua.Hadi akifika miaka 25 ndio huanza kujitambua.
Ila dawa ya kumtuliza ni kumbebesha mimba,na akizaa kidogo wenge hutulia.
 
Ukiwa na 35+ years inabidi uoe wa 35+ years!! vinginevyo vijana watakusaidia!! Nguvu zilishapungua sana na utakuwa mteja mzuri wa waganga wa kienyeji.
Si kweli mkuu mwanaume anakomaa via za uzazi na kuwa na mbegu bora za uzazi kuanzia miaka 36.Pia hamu ya kingono huongezeka zaidi,na kinyume chake kwa mwanamke(vice versa) huu ni ushahidi wa nadharia ya sayansi.
 
Wakati wa Mungu ukifika atakuletea wa kufanana nae, sasahivi utahangaika, utachagua chagua but Mungu akirelease his grace utashangaa utakavyompata kirahisi tena mdada aliye wife material. Yamkini Mungu bado anamtengeneza huyo mke aliyemkusudia kwako, maybe kuna areas of weaknesses ambazo wewe usingeweza kuzivumilia hivyo anamuandaa kwaajili yako na the same kwako. Unaweza kujiona unafaa but Mungu anaona kitu kwako ambacho sio therefore anakutengeneza bila kujijua wewe.
Point, wakati unasubiri mume au mke mwema mwombe sana Mungu akufanye nawewe kua mwema. Ishi katika maisha matakatifu. Tulia mwombe Mungu. Mungu atakusaidia siku atakayoona wewe na mambo yataenda automatically had utashangaa. Wishing you all the best
Asante kwakututia moyo Senior bachelor.
 
Kiuhalisia mwanaume unatakiwa uoe mwanamke uliyemzidi umri wa miaka kati ya miaka 6 - 15.Huu ni uwiano mzuri wa kuja kuzeeka pamoja,na mwanaume kuwa na fikra ya kumuongoza mkewe katika changamoto mbalimbali za maisha.
NENO LANGU SI SHERIA.
Safi kabisa.. sio unaoa mwanamke mna umri sawa, unataka kufa?

Tena hapo ongeza hadi 20.


Kama una umri wa 38 hadi 45 hujaoa .. tafuta kabinti ka 20 to 25 kanakU bado kana nguvu..

Wanawake wa siku hizi akisha fika 35 chini kuna anza kukauka.. hadi umwage glisi lita 5 ndio kuna lainika.

Pia wakisha fikia 35 wanakua wakali na viburi.
 
Safi kabisa.. sio unaoa mwanamke mna umri sawa, unataka kufa?

Tena hapo ongeza hadi 20.


Kama una umri wa 38 hadi 45 hujaoa .. tafuta kabinti ka 20 to 25 kanakU bado kana nguvu..

Wanawake wa siku hizi akisha fika 35 chini kuna anza kukauka.. hadi umwage glisi lita 5 ndio kuna lainika.

Pia wakisha fikia 35 wanakua wakali na viburi.
Duh
 
Safi kabisa.. sio unaoa mwanamke mna umri sawa, unataka kufa?

Tena hapo ongeza hadi 20.


Kama una umri wa 38 hadi 45 hujaoa .. tafuta kabinti ka 20 to 25 kanakU bado kana nguvu..

Wanawake wa siku hizi akisha fika 35 chini kuna anza kukauka.. hadi umwage glisi lita 5 ndio kuna lainika.

Pia wakisha fikia 35 wanakua wakali na viburi.
100% nakubaliana na wewe.Ila umenichekesha kupaka grisi hahaa.
 
Safi kabisa.. sio unaoa mwanamke mna umri sawa, unataka kufa?

Tena hapo ongeza hadi 20.


Kama una umri wa 38 hadi 45 hujaoa .. tafuta kabinti ka 20 to 25 kanakU bado kana nguvu..

Wanawake wa siku hizi akisha fika 35 chini kuna anza kukauka.. hadi umwage glisi lita 5 ndio kuna lainika.

Pia wakisha fikia 35 wanakua wakali na viburi.
Duuuuuuuuu.
 
Huwa wanakuwa na akili za kitoto na hawajitambui.Ndio umri wa binti kuanza mapepe kwa sababu anajiona mzuri na kweli ndio umri binti ambao huchanua kama ua.Hadi akifika miaka 25 ndio huanza kujitambua.
Ila dawa ya kumtuliza ni kumbebesha mimba,na akizaa kidogo wenge hutulia.
Hahahaaaaaaaa
 
Kwahio tusiokuwa na kitu ndio tukate tamaa?


Hahaha kama huna kitu basi uko safe in my view.

Safe kuwa utakataliwa hasa, ila atakayekukubali atakukubali kwa vision na character yako!!!
 
Back
Top Bottom