Luckme
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 713
- 758
Yes lazima uwe na akili ya kuishi na mwanamke
am better here
Yes lazima uwe na akili ya kuishi na mwanamke
Mmewe angejua umemkubali ksb ya huduma za unesi.Ni pale unapopata tatizo la kukupeleka hospitali, patient history inakuwa hivi;
A patient is a 50 yrs old male, never bn married. He lives by himself, un able to look after himself.
Next of kin in case of an emergency? Querry a brother ?
Katika hali hiyo hata sanamu la Michelin utalitamani.
wazungu wana msemo mmoja wanasema the early the better, ila ukiona huhimili majukumu kufa bachelor ni vema kuliko kubeba mzigo usiowezaKwa sisi ma-senior bachelor huwa kuna changamoto kadhaa tunapata kwenye kuchagua mtu sahihi wa kuoa. Kama ilivyo kwa wanawake hata sisi wanaume huwa tunapewa pressure sana na wazazi , ndugu, jamaa na marafiki kuhusu kuoa. Maswali kama unaoa lini? Kwanini huoi? tunakumbana nayo sana. Tushirikishane changamoto na jinsi ya kuzikabili.
1. Kwasababu age imeenda wanawake wengi waliofikia umri wa kuolewa unawaona wadogo kiumri na kimatendo(22-26)
2. Wale ambao hawakubahatika kuolewa hadi 32-35 unawaona wazee sana ingawa wewe ni mzee kuliko wao! (mwanaume hazeeki)
3. Kama uko kama mimi na misimamo ya kutotaka kuoa mwanamke aliezaa utapata tabu sana maana wengi wenye age ya kutulia (28-31) wameshazaa na watu wengine.
4.
5.
6.
Vijana nawashauri kama mnataka kuoa msichelewe sana.
UNAWASHAURI WASICHELEWE SANA KUOA, VIPI JE WAKIWAHI SANA???? umesoma maramibili mbili nachomaanisha au??? maybe your point was the moon and i hit the SUNYou missed the point.
Hii na yenyewe ni sababu kuntu,utakuta mrembo anakwambia mi namwogopa mkeo hapo hata hujamwambia hali yako ya ndoa.Sababu ingine nimesahau kuisema. Kutokuaminika kuwa hatujaoa. Wewe ulikuwa huamini kuwa sijaoa ndio maana ulinikataa. Ila umekuwa siku hizi,maana ulikuwa pasua kichwa
Ilimradi uwe na uhakika wa milo mitatu tu kwa sikuYote maisha, ila afrika hukosi wa kuishi nae.
Bob mm nimevuta niko at 39 na Mungu akanibariki with twin boyz at 40.
Sent using Jamii Forums mobile app



,ulichelewa kinoma,Happ katikati lazima umeumiza Sana wanawake ulikuwa anawadanganya utawaoaInategemea na lifestyle,ukila vizuri + mazoezi+ una hela no stress, even if you're 70, utakuwa Kama una 45Ukiwa na 35+ years inabidi uoe wa 35+ years!! vinginevyo vijana watakusaidia!! Nguvu zilishapungua sana na utakuwa mteja mzuri wa waganga wa kienyeji.
The same applies to women, mwanamke akishafika 35-40,tayari ashazeeka mume anaanza kutafuta michepuko ya miaka 20sNa utajuta unajikuta upo na 60 yeye 36-40 wewe hoi haaa lazima wakubebee mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujichimbia kaburi,tunasubiri mrejesho hapaMimi toka niachane na demu wangu wa chuo..chuo nilimaliza mwaka 2009 demu nimekuja kuachana mwaka 2015
Kila demu ambaye ana sifa nazotaka since 2015 lazima nikute ana mtoto
Ni demu mmoja out of six ndiye hakuwa na mtoto..na huyo si kumpenda kivile japo alinipenda saana
So nimeamua nitaoa single mother..maana nataka demu mwenye umri wa miaka kati ya 25-30
Sent using Jamii Forums mobile app
True....very trueUkioa single mother kuna probability kubwa sana ya mmoja wa watoto wako kuja kuwa single mother pia, u-single mother unaambukiza/rithishika
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo kuna ile binti anamaliza shule anayekuja mbele yake ili kuwahi kupata ndoa bila hata kuchunguza anaolewaWanaoibuka na kuchukua yeyote sasa hivi wanaumia ndoani au washaachana. Wengine tuna misimamo
Mtoto baraka mkuuMkiwa hamjapata watoto mnaringa utadhani hamuendi chooni, mkishazalishwa tu shombo zote zinakatika
Huwa wanajua kuwa huyu sio baba yangu. Na yeye atapata mtoto nje ya mahusiano rasmi akiamini yupo mwanaume atayekuja muoa na kumpenda akiwa na mtoto, kama ilivyokuwa kwa mama yake.Si kweli.
Labda single mother amlee mtoto mwenyewe...
Ila Kama mkuu atamlea vizuri akapata mapenzi ya baba na mama ,then na yeye atataka kulea familia yake ya Baba na mama
Ukiambiwa hivyo hapo tambua anataka kupata habari zako anajua utafunguka, sina mke au ninayeHii na yenyewe ni sababu kuntu,utakuta mrembo anakwambia mi namwogopa mkeo hapo hata hujamwambia hali yako ya ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka yangu usijidanganye hivyo labda vijijini wanaoshinda shamba lakini mjini humu hakuna kitu kama hiyo ukimwambia mtu nina 36 anakwambia hiyo miaka ya kwako au umeazima, nenda kijijini akiwa na 36 anakaribia kuwa na wajukuu au anao kabisaThe same applies to women, mwanamke akishafika 35-40,tayari ashazeeka mume anaanza kutafuta michepuko ya miaka 20s
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika umri huo usimlaumu. Yupo hivyo sababu ndio anakua kiakili.unatafuta mke unakuta ana miaka 20-22 hana mtoto akili zake sasa anataka hela ya soda,vocha na chips ukimuuliza biashara utasikia si umenipenda kila kitu ww hamu ya kuoa inaisha