Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,165
Very true,pia mama hawezi kumuonya bintiye ataanzia wapi wakati yeye mwenyewe single motherHuwa wanajua kuwa huyu sio baba yangu. Na yeye atapata mtoto nje ya mahusiano rasmi akiamini yupo mwanaume atayekuja muoa na kumpenda akiwa na mtoto, kama ilivyokuwa kwa mama yake.
Trust me.....watoto hawafuati mafundisho ya maneno kwa kiwango kikubwa wanaiga na kufuata mfano wa matendo unayowaonyesha......
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

