Kumbe wana ofisi UDOM,ipo sehemu gani aisee hata mi portal yangu mizinguo weli kila nikiapply job inafeli na requirement nikiangalia ziko sawa.Hy ndo imeisha hvy haiwezekani kufuta, labla uende chuo kikuu cha Dodoma kwenye ofisi zao ili wakusaidie
Hawa jamaa wanazingua kinyama mimi mwenyewe toka nimejiregister nimefanikiwa ku apply mara 2 tu,baada ya hapa kila niki apply "job application failed"ndo message nayipata mpaka nimechoka.Upo sahihi sana mkuu hata mimi nimeshindwa leo kufanya application kwa sababu hiyo na wakati wameandika equvailent
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa Sabasaba unapanda magari yanayoenda Social /bondeni, ukifika mwisho wa gari unatembea kunyoosha na hy barabara then mkono wa kushoto utaona nyumba ya kawaida hapo ndio ofisi zao zinaitwa Asha rose Migiro, ukienda naomba unichek mana mm pia nna shida nao afu niko mbali na DodomaKumbe wana ofisi UDOM,ipo sehemu gani aisee hata mi portal yangu mizinguo weli kila nikiapply job inafeli na requirement nikiangalia ziko sawa.
Ulibahatika kwenda.?Kumbe wana ofisi UDOM,ipo sehemu gani aisee hata mi portal yangu mizinguo weli kila nikiapply job inafeli na requirement nikiangalia ziko sawa.
Mbona watu mna chukulia pouwa tecno jamanUkifingua kwenye personal details lazima ukute taarifa za nida ,usipozikuta tafuta kifaa kizuri chenye internet 4g upload tena, usitumie tecno utakomaaView attachment 1695737
Nitakurudishia mrejesho.Ukiwa Sabasaba unapanda magari yanayoenda Social /bondeni, ukifika mwisho wa gari unatembea kunyoosha na hy barabara then mkono wa kushoto utaona nyumba ya kawaida hapo ndio ofisi zao zinaitwa Asha rose Migiro, ukienda naomba unichek mana mm pia nna shida nao afu niko mbali na Dodoma
Hapana mkuu ila baada ya Eid nafikiri kufanya hiyo safari....nitakurudishia mrejesho.Ulibahatika kwenda.?
Kuna ishu flani hv nlkuwa naomba ukajaribu kunifanyia kama itawezekana mkuuHapana mkuu ila baada ya Eid nafikiri kufanya hiyo safari....nitakurudishia mrejesho.
Mbona watu mna chukulia pouwa tecno jaman
By the way nime fan ikiwa kwa iyo iyo tecno na haija wwhi sumbua kila kitu nime weka pouwa
Wafate ofisiniNimeshindwa kuomba kazi ajira portal yan nikijaribu inakataa sujui nakosea wapi katika kujaza......nukuu ya mtu wa karibu
Check academic qualificationsNilikua NaomBa kwa anaejua vizuri kuhus ajira portal Mana kwangu Ina asilimia 90 Ila nikitaka kuomba kazi inaandika failed sijui shida Ni nn hasa Mana na kwenye declaration inagoma kueka katiki kale
=Baada ya kuapply kazi husika. utasubiri kwa muda fulani , kupitia web ya utumishi watatoa majina ya wahusika waliochaguliwa kwenda kufanya interview( utaelekezwa mahali,siku na saa).
=utakwenda kufanya interview , utakaa tena kwa muda kusubiri. Kama utabahatika kufaulu interview, utapewa siku kadhaa za kujiandaa kwenda kuchukua barua ya kazi ambayo inaeleza ofisi, taasisi n.k unayotakiwa kuripoti kama kituo chako cha kazi. hiyo barua utakwenda kuchukua huko huko utumishi.
=baada ya hapo . huko kituo ulichapangiwa watamaliza taratibu zako zote za ajira kama mikataba ya kazi na kadhalika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi sijawahi kuona utumishi wakitangaza kazi za Ualimu.. hizo naona zinahusika huko Tamisemi(sijui wanaitaga OTEAS.. acha kusumbuka na Ajira portal walimu wenzio washaanza kuomba kazi huko Tamisemi.Samahani naomba kujua kama umesomea ualimu unaweza pia kujiunga ajira portal??