Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,945
- 7,945
Wakuu katika nchi,
Kuna hii issue ya HAMAS, na ugaidi duniani kote kupitia kwa vikundi mbalimbali,
Kwa juu inaonekana hii issue chanzo chake ni dini ya uislam na waislam wanapenda hizo mambo,
Lakini deep down ukifuatilia utakuja jua kuwa chanzo cha vikundi vyote vya ugaidi ni uroho wa madaraka unaopelekea watu fulani kutaka kupata madaraka kwa tiketi ya dini badala ya sera zao za kisiasa, (wanafanya hivi kwa maana nchi walimo % kubwa ya watu ni waislam, so wanajua wakipita na mgongo wa kujifanya watu wa dini wataoendwa sana)
Tuliona Afghanistan, Hamas, IS walitaka kutawala Iraq na Syria, zote kwa kujifanya wanampigania Allah lakini ukweli ni kuwa ni kikundi cha watu ambao wanaona hawana nafasi za kuingia kwenye system kwa mbinu za kisiasa so mpango ni kutumia dini,
Upande wa Hamas utaona kabisa viongozi wake ni watu wanaotaka madaraka badala ya kusimamia ustawi wa watu wa gaza, badala ya kukomaa kufanya Gaza iwe sawa wao wanatumia misaada kufanya ugaidi, mwishoni wanawacost watu wengi wasio na hatia maisha yao,
Viongozi hawa licha ya kelele zote za kujifanya wapo upande wa dini wao hawaish maisha ya kidini,
Eg, viongozi wa Hamas wapo wanakula bata Qatar, viongozi wa Afghanistan wapo kabul wanakula bata, watoto wao wanawasomesha kwa mzungu, wakiumwa wanatibiwa kwa mzungu, ila kwa raia wanaleta habari za udini,
Kama taifa na dunia nzima, lazima tujifunze kutenganisha dini na siasa, na tuwaepuke viongozi wote wanaotumia mgongo wa dini kutaka kuingia madarakani,
Awe mkatoliki, awe muislam.au TAG,
Tufanye siasa zetu bila kuhusisha dini, ukoshahusisha dini mambo yanakuwa magumu, binadamu wengi wakifika kwenye dini huwa hawatumii akili kabisa zaidi ya hisia, so lazima tufanye vitu hivi visiingiliane kabisa.
Wenu katika utafutaji wa pesa
Beberu J
Kuna hii issue ya HAMAS, na ugaidi duniani kote kupitia kwa vikundi mbalimbali,
Kwa juu inaonekana hii issue chanzo chake ni dini ya uislam na waislam wanapenda hizo mambo,
Lakini deep down ukifuatilia utakuja jua kuwa chanzo cha vikundi vyote vya ugaidi ni uroho wa madaraka unaopelekea watu fulani kutaka kupata madaraka kwa tiketi ya dini badala ya sera zao za kisiasa, (wanafanya hivi kwa maana nchi walimo % kubwa ya watu ni waislam, so wanajua wakipita na mgongo wa kujifanya watu wa dini wataoendwa sana)
Tuliona Afghanistan, Hamas, IS walitaka kutawala Iraq na Syria, zote kwa kujifanya wanampigania Allah lakini ukweli ni kuwa ni kikundi cha watu ambao wanaona hawana nafasi za kuingia kwenye system kwa mbinu za kisiasa so mpango ni kutumia dini,
Upande wa Hamas utaona kabisa viongozi wake ni watu wanaotaka madaraka badala ya kusimamia ustawi wa watu wa gaza, badala ya kukomaa kufanya Gaza iwe sawa wao wanatumia misaada kufanya ugaidi, mwishoni wanawacost watu wengi wasio na hatia maisha yao,
Viongozi hawa licha ya kelele zote za kujifanya wapo upande wa dini wao hawaish maisha ya kidini,
Eg, viongozi wa Hamas wapo wanakula bata Qatar, viongozi wa Afghanistan wapo kabul wanakula bata, watoto wao wanawasomesha kwa mzungu, wakiumwa wanatibiwa kwa mzungu, ila kwa raia wanaleta habari za udini,
Kama taifa na dunia nzima, lazima tujifunze kutenganisha dini na siasa, na tuwaepuke viongozi wote wanaotumia mgongo wa dini kutaka kuingia madarakani,
Awe mkatoliki, awe muislam.au TAG,
Tufanye siasa zetu bila kuhusisha dini, ukoshahusisha dini mambo yanakuwa magumu, binadamu wengi wakifika kwenye dini huwa hawatumii akili kabisa zaidi ya hisia, so lazima tufanye vitu hivi visiingiliane kabisa.
Wenu katika utafutaji wa pesa
Beberu J