round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 935
- 3,014
Lecturer hana tofauti sana na Mungu mtu kwa maisha ya chuoni, ana uwezo mkubwa wa kuamua kufanya maisha yako yawe magumu au yawe mepesi, kukufelisha au kukufaulisha
Hata kama ni mke wako huna cha kumwambia mwalimu wake kwenye suala la marks.
Wanafunzi wengi ni ngumu kuchomoa kwasababu kuu mbili, 1. marks / ufaulu 2. kutunzwa kifedha.
1. MARKS / UFAULU
Kwa wale wanafunzi awe vipanga ni ngumu kuwafelisha ila anaweza kumtisha atampa ufaulu wa kawaida au kumuahidi atamfaulisha zaidi na sio lazima amwambie hivyo, mwanafunzi wa kike akiona Lecturer anamtaka tayari anajua hayo.
Wanafunzi wenye wenye uwezo wa kawaida au mdogo inakuwa (mara nyingi huwa ndizo pisi kali) hawa ndio huwa rahisi zaidi kuwakamata na huwa wanajilengesha na kuwa tayari kwa lolote wajinasua, kinachobaki ni maamuzi ya mwalimu.
2. KUTUNZWA KIFEDHA
Lecturers wanalipwa fresh kwa wastani milioni 2 hadi 4 kwa chuo kimoja (wapo wanaofundisha hadi vyuo vitatu kwa mpigo), binti anajua kabisa hapa kuna fursa ya kupata vilaki laki vya matunzo
hao lecturers mnaowaona wamefumaniwa ni wachache sana na sio mara ya kwanza, ilishakuwa tabia sugu, mbaya zaidi huwa wanapewa onyo au wanahamishwa tawi la chuo (wanalindana)
Hata kama ni mke wako huna cha kumwambia mwalimu wake kwenye suala la marks.
Wanafunzi wengi ni ngumu kuchomoa kwasababu kuu mbili, 1. marks / ufaulu 2. kutunzwa kifedha.
1. MARKS / UFAULU
Kwa wale wanafunzi awe vipanga ni ngumu kuwafelisha ila anaweza kumtisha atampa ufaulu wa kawaida au kumuahidi atamfaulisha zaidi na sio lazima amwambie hivyo, mwanafunzi wa kike akiona Lecturer anamtaka tayari anajua hayo.
Wanafunzi wenye wenye uwezo wa kawaida au mdogo inakuwa (mara nyingi huwa ndizo pisi kali) hawa ndio huwa rahisi zaidi kuwakamata na huwa wanajilengesha na kuwa tayari kwa lolote wajinasua, kinachobaki ni maamuzi ya mwalimu.
2. KUTUNZWA KIFEDHA
Lecturers wanalipwa fresh kwa wastani milioni 2 hadi 4 kwa chuo kimoja (wapo wanaofundisha hadi vyuo vitatu kwa mpigo), binti anajua kabisa hapa kuna fursa ya kupata vilaki laki vya matunzo
hao lecturers mnaowaona wamefumaniwa ni wachache sana na sio mara ya kwanza, ilishakuwa tabia sugu, mbaya zaidi huwa wanapewa onyo au wanahamishwa tawi la chuo (wanalindana)