Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,204
Naomba kuwasilisha uzi huu kwa mfumo wa maswali kwa wadau juu ya sakata hili;
1) Je, sehemu pakufanyia kazi ni tofauti?
2) Kwanini hospital nyingi zinakataa kuwapokea watu biotechnology and laboratory sciencies.
3) Je, leseni za watu wa biotechnology and laboratory sciencies zinapatikana wapi?
Karibuni wanajukwaa msaidie kupanua uelewa juu ya swala hili.
1) Je, sehemu pakufanyia kazi ni tofauti?
2) Kwanini hospital nyingi zinakataa kuwapokea watu biotechnology and laboratory sciencies.
3) Je, leseni za watu wa biotechnology and laboratory sciencies zinapatikana wapi?
Karibuni wanajukwaa msaidie kupanua uelewa juu ya swala hili.