Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,752
- Thread starter
- #61
maskini Madrid...dah
nikivuta picha tangu Madrid ile Dume ilivyosasambuliwa na kukatiwa shanga na akina Del Piero, Nedved na Trezeguet....kisha wakaja kujiuliza tena na Zalayeta akawananihii...dah hapo ndo napochoka
Juventus hawawezi kuchukua kombe kwa historia, inabidi wakaze vigimbi pachimbike kisawasawa, bahati mbaya wanacheza second-leg Santiago Bernabéu.