Hizi mechi kuna home and away au ndo Madrid washatolewa
kuna home and away ila inaonekana kama Madrid kashaanza safari ya kupumzika zake.
Hizi mechi kuna home and away au ndo Madrid washatolewa
Hizi mechi kuna home and away au ndo Madrid washatolewa
Save Like Casillas. Defend Like Ramos. Control Like Isco. Hold Like Kross. Pass like Modric. Shoot like Ronaldo. Win like Real Madrid, then you can be UCL champion, sio blah blah blah humu jamii forums huku viroho vinawaenda mbio hahaha!
Ninaisapoti Juventus,napenda tupangiwe na Real Madrid
Kila mtu anataka apangiwe na Juve, sijui ndio wamewaona vibonde.
Vibonde watafika final hao
Draw ni kesho mkuu, nakutakia kila la heri.
Acha kumpa moyo, hatua tuliyofikia ukiachana na majeruhi kwa Madrid basi utagundua timu yenye kiwango cha chini kidogo ni Juve.
Hahaha acha wahamie. With all due respect, tukifungwa na timu anayofundisha Allegri, Mods wabadilishe Id yangu iwe Lil Wayne au Biggie Smallz, au nipigwe ban 4 good.
Ni msiba mkubwa kwa barca, bila shaka leo watakesha wanalikumbuka zigo la magoli walilobebeshwa msimu wa mwaka juzi! Ukitaka kuwanyima kikombe barca we wapange na Bayern tu, hapo ndo unamkuta Messi amekuwa amekuwa mdogo kuliko piriton! Hivi mwaka juzi walifungwa ngapi vile?
SMH. Enough with this man, hajapigwa ban, haitaji msamahaInvisible naomba umsamehe kwa Ban mliyompa huyu maana naamini amejifunza huyu TUPACified.
SMH. Enough with this man, hajapigwa ban, haitaji msamaha
Umefanana sana na TUPACified hadi miandiko yenu au ndo ujio wake mpya....nawaza tu usinipige mawe.....Lol
Umefanana sana na TUPACified hadi miandiko yenu au ndo ujio wake mpya....nawaza tu usinipige mawe.....Lol
Invisible naomba umsamehe kwa Ban mliyompa huyu maana naamini amejifunza huyu TUPACified.
Ban aliomba mwenyewe alivyoona dalili za kufungwa akaamua a-create ID nyingine ile ya zamani akaacha kuitumia now anatufanya sisi watoto,kuna watu walipigwa life ban mpaka wakaombewa msamaha.Mod muacheni anachangamsha sana jukwaa la Sports & Entertainment naamini next time hatajaribu kuomba ban
Ban aliomba mwenyewe alivyoona dalili za kufungwa akaamua a-create ID nyingine ile ya zamani akaacha kuitumia now anatufanya sisi watoto,kuna watu walipigwa life ban mpaka wakaombewa msamaha.Mod muacheni anachangamsha sana jukwaa la Sports & Entertainment naamini next time hatajaribu kuomba ban
Ban aliomba mwenyewe alivyoona dalili za kufungwa akaamua a-create ID nyingine ile ya zamani akaacha kuitumia now anatufanya sisi watoto,kuna watu walipigwa life ban mpaka wakaombewa msamaha.Mod muacheni anachangamsha sana jukwaa la Sports & Entertainment naamini next time hatajaribu kuomba ban
Wazee ni ban JF tu, kuna maisha halisi. Zaidi zaidi atakachomiss Mshkaji humu ni kuchangia porojo na watu wa home tu, ambako pia kuna platforms nyingine kibao za kufanya hivyo. Ila isiwe kesi, naona hii mambo inakosesha watu amani sana, so ngoja na mimi nijiachie tukatumikie ban wote.Ban aliomba mwenyewe alivyoona dalili za kufungwa akaamua a-create ID nyingine ile ya zamani akaacha kuitumia now anatufanya sisi watoto,kuna watu walipigwa life ban mpaka wakaombewa msamaha.Mod muacheni anachangamsha sana jukwaa la Sports & Entertainment naamini next time hatajaribu kuomba ban