hyo semifinal 1 ndi hatar bayern vs barca
Ni msiba mkubwa kwa barca, bila shaka leo watakesha wanalikumbuka zigo la magoli walilobebeshwa msimu wa mwaka juzi! Ukitaka kuwanyima kikombe barca we wapange na Bayern tu, hapo ndo unamkuta Messi amekuwa amekuwa mdogo kuliko piriton! Hivi mwaka juzi walifungwa ngapi vile?
Daddy twakutana na Ex-manager wetu? Je kisasi kitalipwa??????
Ni msiba mkubwa kwa barca, bila shaka leo watakesha wanalikumbuka zigo la magoli walilobebeshwa msimu wa mwaka juzi! Ukitaka kuwanyima kikombe barca we wapange na Bayern tu, hapo ndo unamkuta Messi amekuwa amekuwa mdogo kuliko piriton! Hivi mwaka juzi walifungwa ngapi vile?
-Umeanza lini kuangalia mpira wewe mpaka uifananishe Barca ya Mwaka juzi na Barca huu?
-Barca imefanya madiliko makubwa sana. Labda wapate majeruhi siku za hapa karibuni.
Hakuna mabadiliko ya msingi, Messi ni huyo huyo, Iniesta ni huyo huyo, game plan ni hiyo hiyo! Kama wameongeza wachezaji kama vile yule mng'ataji, Bayern pia wameongeza mashine za uhakika kama vile Lewarndosky! Jiandae kisaikologia kwa kimbunga kingine! Kuhusu lini nimeanza kuangalia mpira mimi ni mkongwe na DSTV iko sebuleni kwangu kitambo tu!
Hahaha kwanini usikubali kwamba Bayern walikuwa on-fire? Ongea vyote, ila ushabiki pembeni, hii Barca ni dhaifu kati ya zote toka Rijkaard amewainua. Ila utabisha kama kawaida yako/yenu. Only time will tell.-Sasa nimegundua kuwa wewe una bifu binafsi na Barca.
-Barca wakati wanapigwa na Bayern timu ilikuwa hovyo sana.
1. Majeruhi hususani kwa mabeki pamoja na Messi ambae hakuwa na msaidizi yoyote kule mbele ukiachana na sasa hivi kuna Neymar na Suarez. Kipindi kile hata Messi mwengewe alikuwa majeruhi.
2. Xavi alikuwa hawezi kuendana na Speed ya mchezo ukiangalia yeye ndo mchezeshaji mchezo.
3. Kocha hakukaa na timu miezi takribani 3, Marehemu Titi Vilanova anatoka USA kwa matibabu ni mechi mbili kabla ya Game ya Bayern Munich. Hii nayo ilichangia timu kutofanya vema.
Hahaha kwanini usikubali kwamba Bayern walikuwa on-fire? Ongea vyote, ila ushabiki pembeni, hii Barca ni dhaifu kati ya zote toka Rijkaard amewainua. Ila utabisha kama kawaida yako/yenu. Only time will tell.
-Kwanini unasema ni dhaifu?
Hivi madrid hii kweli ilikuwa ya kupangiwa Juventus!?.
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25 bingwa mtetezi anakwenda kutetea kombe lake, poor Uefa kwa kuzigonganisha Barca na Bayern ktk stage hii!!.
Hivi madrid hii kweli ilikuwa ya kupangiwa Juventus!?.
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25 bingwa mtetezi anakwenda kutetea kombe lake, poor Uefa kwa kuzigonganisha Barca na Bayern ktk stage hii!!.
Hivi madrid hii kweli ilikuwa ya kupangiwa Juventus!?.
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka 25 bingwa mtetezi anakwenda kutetea kombe lake, poor Uefa kwa kuzigonganisha Barca na Bayern ktk stage hii!!.
Nitashangilia juve na barceona