Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,752
- Thread starter
- #21
Hivi Simba hawajucheza haya mashindano au ndio wameonewa kama kawaida wametokewa..maana manji ana fitna sana aisee
Is this supposed to be funny?
Hivi Simba hawajucheza haya mashindano au ndio wameonewa kama kawaida wametokewa..maana manji ana fitna sana aisee
Kusema kweli, timu kama kibonde haiwezi kufika katika hatua hii. Mimi nakutakia kila la heri upate kile unachoomba.
Acha kumpa moyo, hatua tuliyofikia ukiachana na majeruhi kwa Madrid basi utagundua timu yenye kiwango cha chini kidogo ni Juve.
Juventus itamfaidisha sana mhindi
Mumbo jumboHivi Simba hawajucheza haya mashindano au ndio wameonewa kama kawaida wametokewa..maana manji ana fitna sana aisee
Acha kumpa moyo, hatua tuliyofikia ukiachana na majeruhi kwa Madrid basi utagundua timu yenye kiwango cha chini kidogo ni Juve.