Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
Nasikitika nimekosa kutazama mechi hii.
Inaweza kuwa kweli mkuu. Labda Ancelloti ameplay safe sababu ya bad temper za Ramos na Pepe walizonazo. Kwa mtizamo wangu hawa jamaa (Pepe na Ramos) ni one foul away from a red card katika mechi kama hii.
Nasikitika nimekosa kutazama mechi hii.
Mechi ina presha sana hii, sio ya kushangilia kabla ya filimbi ya mwisho.Masikini simeon hashangilii anajua linarudi muda sio mrefu.
hahahahahahahahah
Real Madrid 0
Atletico Madrid 1
Nasema hivi likirudi hilo nipewe ban ya week moja. Sitaki kuongea mengi.
Nasikitika utakosa kumwona Ronaldo akilia kwa kukosa ubingwa kwenye ardhi ya nyumbani.
Nasikitika utakosa kumwona Ronaldo akilia kwa kukosa ubingwa kwenye ardhi ya nyumbani.
RM wanacheza under pressure tofauti na ATM wanaonekana wametulia sana.